kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
LoveNataka kujua hiyo L imesimama kama nini kwenye jina lako...???!
Ila mi demuOa uliye panga kuoa,kweni yeye wa sasa ulipanga kumuoa ukiwa humpendi?na huyo aliyekua masomoni kama hamkua na mawasiliano ya kuoana ni wa nini sasa? We umejawa na tamaa baada ya kumuona huyu wa zamani amekua kama mpya,ukibeba huyo itakula kwako huko mbeleni afu uje utusumbue tena
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Kwanini
Wewe ndio ulimuanzishia dunia ya mahabaMe ningeoa tu kwasababu hadi ufikie hatua hiyo sio kitu kidogo, imagine mtu ameenda masomoni mmepotezana kwa mda mrefu inshort huyajui maisha yake kabisa tangu mpotezane alafu uje umkimbilie kwa kigezo cha kuwa alikuanzishia dunia ya mahaba. Binafsi mimi siwezi
Wewe ndio ulimuanzishia dunia ya mahaba
SawaHakuna kubadili maamuzi,huyo wa masomoni atabaki kuwa kiburudisho tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ukikua utajua....Kwanini