Yaani umeshatoa posa bado tarehe yakuoa tu ila mko kwenye vikao gafla katika kuhangaika huku na kule ukakutana na mwanamke wako uliyemuanzishia dunia ya mahaba na ulikuwa unampenda mliachana baada ya yeye kwenda masomoni .
Sasa karudi utafanyaje? Utasitisha ndoa Au utaoa?
Sasa karudi utafanyaje? Utasitisha ndoa Au utaoa?

