Unajua unaongea na nani?

Unajua unaongea na nani?

Mbimbinho

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
8,328
Reaction score
7,804
Devi kaajiriwa kwenye kampuni, akiwa ndo kwanza ana siku mbili, akainua simu ya mezani na kupiga extension fulani akijua kampigia mtengeza chai;
Devi: Oyaa hebu haraka leta chai
Jibu: Nani we mpumbavu unanituma mimi chai? unajua unaongea na nani hapa?
Devi: Sijui we nani?
Jibu: Mimi ndie Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hii.
Devi: Na we unajua mi nani?
Jibu: Sijui
Devi: Dah nashukuru Mungu, akaweka simu chini
 
Back
Top Bottom