Unajua Umuhimu wa BULK SMS?

Unajua Umuhimu wa BULK SMS?

Hizo zimeshtukiwa kuwa ni chocho la Sim Farm....
Ole wako wakunase.....
 

Attachments

  • 1763937160728.png
    1763937160728.png
    498.2 KB · Views: 14
  • 1763937160768.png
    1763937160768.png
    667.9 KB · Views: 20
Hizo zimeshtukiwa kuwa ni chocho la Sim Farm....
Ole wako wakunase.....
hivi sim farm na hizo nafkiri ni vitu viwili tofauti kabisa japo kwa jina ni moja ila mifumo sina uhakika kama ni kitu kimoja, labda tupate ufafanuzi kwa mtoa mada
 
Simfarm inafanyaje kazi yake ya flooding mobile network mpaka ina crash bila kuwa na bulk sms?
Mkijakudakwa mtajiju….

View attachment 3542326
Sasa Mkuu hii ni tofauti Tofauti ya Bulk SMS ni huduma halali ya kutuma ujumbe wa maandishi kwa watu wengi kwa wakati mmoja kupitia mtandao wa mtoa huduma (operator) au kampuni iliyoidhinishwa, kwa kawaida hutumika kwenye matangazo, taarifa au uthibitisho wa huduma; SIM farm, kwa upande mwingine, ni mfumo wa vifaa unaotumia SIM kadi nyingi na VoIP kufanya mawasiliano yaonekane ya kawaida ya ndani, mara nyingi hutumika kukwepa udhibiti au gharama za mitandao. NB BULK SMS lazima usajiliwe kwenye mtandao kwa Tz lazima kampuni zote zikuidhinishe ndio inakuwa aproved
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom