Unajua nchi hii kwa hili: CC-Wasira vs Chadema-Heche! Je nchi inaenda wapi??
Kama wewe ni kijana ambao ni 80% wanamsikiliza mzee wasira ambaye alikuwa mkuu wa mkoa 1978 kwa uchawa wake au Heche? Nchi ndiyo ipo hapa.
Kwasababu ya nguvu ya serikali wanataka kukuaminisha watanzania wengi wanamsikiliza Wasira lakini uhalisia ni tofauti
Kama wewe ni kijana ambao ni 80% wanamsikiliza mzee wasira ambaye alikuwa mkuu wa mkoa 1978 kwa uchawa wake au Heche? Nchi ndiyo ipo hapa.
Kwasababu ya nguvu ya serikali wanataka kukuaminisha watanzania wengi wanamsikiliza Wasira lakini uhalisia ni tofauti