nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 427
Week end Hii wengi tulizikosa Eatv, Itv,capital kupitia Satelote Dish zetu
Leo asubuh Nlikua na Nmetulia home nikaona nivema nitumie my time kucheza na Dish maana nlibakiwa na chanel za mozambique tuu
Nkaona nizitafte upya pia TBc, star Tv na Ch 10 ambazo ziliweka mgomo tangu mwez wa 6
Baada ya Kurekebisha v2 na kuanza kusearch upya nikapata Chanel zote Vzuri ila chanel 10 bado imenigomea mpaka sasa na Iman tv imeshika ila hakuna any broad casted program..
Nikaamua nirudi kwenye IPP kuona walikua wanafanya Mabadiliko ghani Mpaka tukose Matangazo yao Kwa siku mbili !! Pili ilikua ni kwa Wote.. Yaani vin'gamuzi mpaka free to air Dishes nikaja kuona mabadiliko haya
mabadiliko katika Audio
kama ww sio mtundu sana wa kugusa gusa receiver au decoder yako hili tengenezo bas utakua hulaligundua... Sijajua kwa wanao tumia Mpeg4 ila mm bado na tumia DVB [digital broadcast video] so hii pale kwenye audio ilikua kwa chanel za ipp inakubali kwenye stereo na right ila ukiweka left zilikua hazitoi sauti ila now any output saut inatoka iwe stereo au left au right .. Hii ilikua inakost kwa kias flan hasa kam unaangalia tv moja ya msumbiji ambayo ukiweka stereo basi sauti inaingiliana na redio moja hivi so itakubidi uweke left ambayo ndo inatoka audio ya tv.. So at the time ukirudi ipp zilikua hazitoi saut so mpaka uchange tena.. Ila now wame fix hili tatizo
kuziweka Ea radio, Radio 1, Capital radio katika mfumo wa satelite kwa maana hiyo hizi ndio radio za kwanza za tz kuingia kwenye mfumo wa Satelite
Hapa naweza kuwa sijaeleweka vizuri au nimewachanganya baadhi ya wadau wasio elewa hii kitu!!
Hakukua na redio hata moja kwenye mfumo wa satelite [sina uhakika kwa watumiaji wa mpeg4 maana mm n DVB]
kilichokuwepo pale nikua Tv za tz watu huwa wanaweka radio katika Audio.. Kama una DSTV utakua umenielewa maana pale huwa tunakua na chanel ina audio mbili yaani kama ynaangalia mpira unaweza chagua mtangazaji awe wa lugha either English, french au portgues.... Ila video inakua hiyo hiyo wala huhitaji kubadili chanel... So chanel za tanzania huweka audio redio zake mfano now ukienda Tbc unaweza sikiliza tbc taifa, tbc fm, clouds fm na kitambo ilikuwepo Sibuka redio ila ilitolewa.. So zile sio Satelite redios ila ni Audio codecs za tv ila sisi ndo huwa tunaweka kama Redios kutokana na u duni wetu katika tecnolojiaaa. Kwa sasa kuzipata redios zile itakubidi u click ile button imeandikwa Tv/Redio ndipo uweze kusikiliza redio Zile
Kuna baadhi Ya Watu hawaja updates hizi redio so unachotakiwa kufanya ni ku scan upya [unaweza scan mannualy transponder yao tuu na ukazipata hizi redios!!!
kuhusu kua redio za kwanza kwenye satelite sina 100 percent maana kwenye Ku band nina redio ya gospel ni Ya kiswahili Ila sijathibitisha kama Ni ya Tanzania na imeandika tu Radio haijaweka jina lake.. Huwa napata hisia ni ya Kenya
Regards
Leo asubuh Nlikua na Nmetulia home nikaona nivema nitumie my time kucheza na Dish maana nlibakiwa na chanel za mozambique tuu
Nkaona nizitafte upya pia TBc, star Tv na Ch 10 ambazo ziliweka mgomo tangu mwez wa 6
Baada ya Kurekebisha v2 na kuanza kusearch upya nikapata Chanel zote Vzuri ila chanel 10 bado imenigomea mpaka sasa na Iman tv imeshika ila hakuna any broad casted program..
Nikaamua nirudi kwenye IPP kuona walikua wanafanya Mabadiliko ghani Mpaka tukose Matangazo yao Kwa siku mbili !! Pili ilikua ni kwa Wote.. Yaani vin'gamuzi mpaka free to air Dishes nikaja kuona mabadiliko haya
mabadiliko katika Audio
kama ww sio mtundu sana wa kugusa gusa receiver au decoder yako hili tengenezo bas utakua hulaligundua... Sijajua kwa wanao tumia Mpeg4 ila mm bado na tumia DVB [digital broadcast video] so hii pale kwenye audio ilikua kwa chanel za ipp inakubali kwenye stereo na right ila ukiweka left zilikua hazitoi sauti ila now any output saut inatoka iwe stereo au left au right .. Hii ilikua inakost kwa kias flan hasa kam unaangalia tv moja ya msumbiji ambayo ukiweka stereo basi sauti inaingiliana na redio moja hivi so itakubidi uweke left ambayo ndo inatoka audio ya tv.. So at the time ukirudi ipp zilikua hazitoi saut so mpaka uchange tena.. Ila now wame fix hili tatizo
kuziweka Ea radio, Radio 1, Capital radio katika mfumo wa satelite kwa maana hiyo hizi ndio radio za kwanza za tz kuingia kwenye mfumo wa Satelite
Hapa naweza kuwa sijaeleweka vizuri au nimewachanganya baadhi ya wadau wasio elewa hii kitu!!
Hakukua na redio hata moja kwenye mfumo wa satelite [sina uhakika kwa watumiaji wa mpeg4 maana mm n DVB]
kilichokuwepo pale nikua Tv za tz watu huwa wanaweka radio katika Audio.. Kama una DSTV utakua umenielewa maana pale huwa tunakua na chanel ina audio mbili yaani kama ynaangalia mpira unaweza chagua mtangazaji awe wa lugha either English, french au portgues.... Ila video inakua hiyo hiyo wala huhitaji kubadili chanel... So chanel za tanzania huweka audio redio zake mfano now ukienda Tbc unaweza sikiliza tbc taifa, tbc fm, clouds fm na kitambo ilikuwepo Sibuka redio ila ilitolewa.. So zile sio Satelite redios ila ni Audio codecs za tv ila sisi ndo huwa tunaweka kama Redios kutokana na u duni wetu katika tecnolojiaaa. Kwa sasa kuzipata redios zile itakubidi u click ile button imeandikwa Tv/Redio ndipo uweze kusikiliza redio Zile
Kuna baadhi Ya Watu hawaja updates hizi redio so unachotakiwa kufanya ni ku scan upya [unaweza scan mannualy transponder yao tuu na ukazipata hizi redios!!!
kuhusu kua redio za kwanza kwenye satelite sina 100 percent maana kwenye Ku band nina redio ya gospel ni Ya kiswahili Ila sijathibitisha kama Ni ya Tanzania na imeandika tu Radio haijaweka jina lake.. Huwa napata hisia ni ya Kenya
Regards