chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,083
Ni ukweli ulio wazi kuwa wafuasi wa Magufuli hawapendi kuona rais Samia akiridhiana na vyama vya upinzani na hatimaye hata kuruhusu mikutano ya hadhara.
Sababu ni hizi hapa.
1. Wafuasi wa Magufuli wanaumia Sana namna mama anavyofanya kazi kwa kuondoa baadhi ya Mambo ambavyo mtangulizi wake alifanya. Wanahisi mama atamfunika "shujaa" na kufuta legacy yake.
2. Waliopata "utawala" kwa kubaka uchaguzi wanahofu nafasi zao zao za ubunge na udiwani. Wanajua Mwendo huu wa mama huenda akaruhusu kidogo uchaguzi, kitu ambacho ukweli ulio wazi kuwa uchaguzi wa haki ufanyike Leo hata huyo chief Hangaya hatoboi.
3. Wale waliokuwa wananyanyasa wenzao kwa uongozi wa kutemi na mabavu wanona Sasa kurudi tena basi,. Na huenda mama akafungua njia yake zaidi mwaka 2025.
4. Mwisho tukubaliane kuwa sababu pia ni kikundi hiki haramu Cha Magufuli supporters., Kimefilisika akili. Hawajawahi kuwa na akili na hawatopata akili, hivyo ni watu wa kuwazoe na tunapaswa kuwachukulia Kama "wapuuzi wa taifa".
Sababu ni hizi hapa.
1. Wafuasi wa Magufuli wanaumia Sana namna mama anavyofanya kazi kwa kuondoa baadhi ya Mambo ambavyo mtangulizi wake alifanya. Wanahisi mama atamfunika "shujaa" na kufuta legacy yake.
2. Waliopata "utawala" kwa kubaka uchaguzi wanahofu nafasi zao zao za ubunge na udiwani. Wanajua Mwendo huu wa mama huenda akaruhusu kidogo uchaguzi, kitu ambacho ukweli ulio wazi kuwa uchaguzi wa haki ufanyike Leo hata huyo chief Hangaya hatoboi.
3. Wale waliokuwa wananyanyasa wenzao kwa uongozi wa kutemi na mabavu wanona Sasa kurudi tena basi,. Na huenda mama akafungua njia yake zaidi mwaka 2025.
4. Mwisho tukubaliane kuwa sababu pia ni kikundi hiki haramu Cha Magufuli supporters., Kimefilisika akili. Hawajawahi kuwa na akili na hawatopata akili, hivyo ni watu wa kuwazoe na tunapaswa kuwachukulia Kama "wapuuzi wa taifa".