TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Mwenzio anazungumzia maji ya bomba anayoyonunua ndoo ya Lt 20 kwa sh 100 na kuyachemsha kwa mkaa unaobaki baada ya kupika ugali. Kwenye hiyo elfu6 yako anasave sh 5900 maisha mengine yanaendelea. Sasa wewe endelea kujifanya hujui kubana matumizi shwainHiyo gharama ya kuchemsha, na huo mda wa kupoza, ni Bora ununue Lita 20 Kwa elfu 6 tu.