Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,491
- 26,973
Pure water ni H2O, ambazo ni hewa... haya ndo flat wala hayafai kwa kunywa.
The so called ladha ya maji ni kutokana na madini (minerals), maji ya mvua (kukinga) ni tofauti na maji ya kisima.
Maji ni hewa zilizopoa, kuyachemsha hakuondoi hewa hizo... bali hubadilika kwenda hali nyepesi (mvuke/vapor).
Rudia utafiti wako, hata hiyo rejea yako uliyoambatisha haielezi ulichoandika wewe!
The so called ladha ya maji ni kutokana na madini (minerals), maji ya mvua (kukinga) ni tofauti na maji ya kisima.
Maji ni hewa zilizopoa, kuyachemsha hakuondoi hewa hizo... bali hubadilika kwenda hali nyepesi (mvuke/vapor).
Rudia utafiti wako, hata hiyo rejea yako uliyoambatisha haielezi ulichoandika wewe!