Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Kama umenunua kompyuta inayotumia mfumo wa window mara zote tunaita "PC". LAKINI wakati mwingine Mac nazo zinaitwa "A PC" pia. Je Kuna Siri Gani apa!! kwanini kompyuta zinaitwa PC hata hivyo?? Nitakuambia.
Turudi nyuma kidogo mwaka 1981 August , IBM iliweza kutengeneza personal computer nchini marekani kutokana na iyo bidhaa kuwafikia watu wengi basi midomoni kwa watu wakaanza kuita IBM PC kwa kifupi.
Ndani ya miaka michache Kampuni zikaanza kuuunda kompyuta za IBM na kuuunda mashine zingine ambazo azikua na Lebo ya IBM. Kwaiyo neno PC kwa miaka iyo likawa ni jina kwa kompyuta ambazo zisizo na Lebo ya IBM ambazo zilitoka kwenye iyo iyo Kampuni ya IBM kompyuta.
Microsoft window ilianzia kwenye jukwaa la IBM kama Ganda (sticker) kwenye kompyuta zote za IBM PC ambayo walikua wanatumia Microsoft disk operating system (Dos).
Kwaiyo watu wanaposema "Kompyuta" siku hizi, ni kawaida humaanisha kompyuta inayoendesha Windows, ingawa wakati mwingine watu hufafanua kwa kusema "Windows PC" badala yake.
Ulikua unajua hii au ndo tunakujuza Tunakutakia Eid Al fitir njema Wana Teknolojia
Hakika Teknolojia ni Yetu sote #bongotech255
Turudi nyuma kidogo mwaka 1981 August , IBM iliweza kutengeneza personal computer nchini marekani kutokana na iyo bidhaa kuwafikia watu wengi basi midomoni kwa watu wakaanza kuita IBM PC kwa kifupi.
Ndani ya miaka michache Kampuni zikaanza kuuunda kompyuta za IBM na kuuunda mashine zingine ambazo azikua na Lebo ya IBM. Kwaiyo neno PC kwa miaka iyo likawa ni jina kwa kompyuta ambazo zisizo na Lebo ya IBM ambazo zilitoka kwenye iyo iyo Kampuni ya IBM kompyuta.
Microsoft window ilianzia kwenye jukwaa la IBM kama Ganda (sticker) kwenye kompyuta zote za IBM PC ambayo walikua wanatumia Microsoft disk operating system (Dos).
Kwaiyo watu wanaposema "Kompyuta" siku hizi, ni kawaida humaanisha kompyuta inayoendesha Windows, ingawa wakati mwingine watu hufafanua kwa kusema "Windows PC" badala yake.
Ulikua unajua hii au ndo tunakujuza Tunakutakia Eid Al fitir njema Wana Teknolojia
Hakika Teknolojia ni Yetu sote #bongotech255