Unajua historia ya bendera ya taifa lako tangu 1885?

bendera yetu hubadilika mara kwa mara!bendera ya sasa huchanika na kupauka baada ya muda mfupi sana !
 
ningependa kabla mjadala haujashika kasi mleta mada atuhakikishie kuwa hakuna mgongano wa kimaslahi.
Isije ikawa umekosa tenda ya kutengeneza bendera sasa umeamua kumuharibia mwenzako.
 
hiyo ni bendera ya tanzania bara na si tanzania nzima zipo tofauti kiasi
 
Huu ujio wa huyu Obama utaibua mengi maana kila kukicha utasikia hiki kimebadilishwa. Sasa mi cjui huyu mtu kuja kwake kunaisaidia nn taifa yetu.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
ungeweka picha tungekuelewa unakuja na manene miiiiiiingi ambayo haivunji mfupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…