HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Aisee..
Kiukweli katika Maisha Yangu Hakuna kitu nachojivunia kama kuwa na Upendo wa Dhati sana Japo Umeniumiza sana Maishani Mwangu.
Kingine najivunia sana kuwa mtu ambaye ninapendwa sana na Wanaume.
Niambie kitu gani unajivunia katika Maisha ya Mapenzi.
Halfu kuna watu wanasema ooh hii Id ya mwanaume sasa mnataka jf yote tuwe wanaume wengine Tuna papuchu jamani..
Usiku mwema Wapenzi.
Kiukweli katika Maisha Yangu Hakuna kitu nachojivunia kama kuwa na Upendo wa Dhati sana Japo Umeniumiza sana Maishani Mwangu.
Kingine najivunia sana kuwa mtu ambaye ninapendwa sana na Wanaume.
Niambie kitu gani unajivunia katika Maisha ya Mapenzi.
Halfu kuna watu wanasema ooh hii Id ya mwanaume sasa mnataka jf yote tuwe wanaume wengine Tuna papuchu jamani..
Usiku mwema Wapenzi.