elite wa Geita
Senior Member
- Jul 25, 2016
- 157
- 183
Najisikia aibu sana kuona watanzania wenzangu wakimuona mtu wa ngozi nyeupe (wazungu) wanamtetemekea sana, wakati hata wazungu pia wapo wa hovyo hovyo,
Swala jingine ni kwanini watanzania hawana confidence ya kuzungumza lugha ya taifa? Wakati wahindi na wachina wabakuja kwetu na wanabonga lugha yao bila wasi wasi
Swala jingine ni kwanini watanzania hawana confidence ya kuzungumza lugha ya taifa? Wakati wahindi na wachina wabakuja kwetu na wanabonga lugha yao bila wasi wasi