Unajimu mwaka 2012

Vipi nyota ya nyani ?
...Hii ni subdivision ya nyota ya sungura,cha muhimu inabidi uache ujanja wako kuruka huku na kule (kufisadi huku na kule) kuwa na mpenzi huyu au yule,inabidi ujifunze kutembea kwa miguu miwili na uishi kwenye mti mmoja tu.
 
duuh! mnajimu wetu ukimaliza nyota uhamie kwenye mbalamwezi!
 

Niambie na mm nyota yangu Mbuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…