Unajifunza Nini Kuhusu Hii Picha

Unajifunza Nini Kuhusu Hii Picha

Duh, pole naona umeacha kabisa kufikilisha akili yako. Na nadhani hujui maana ya opposition, laiti ungejua ungekaa kimya. Haya wanaoshinda mahakamani, wanashinda kivipi na nani anawapeleka mahakamani? Au hujui Lissu anatetea nini, sitaki niamini maneno yako kama ukweli umeongea baada ya kuwaza au vinginevyo? Hivi hizo ziara za mkulu huoni kuwa ni siasa, ila anazigeuza kama anaenda kuzindua miradi, au haujui kuwa serikali ipo kwa ajili ya wananchi, ila wananchi wako kwa ajili ya kuhudumiwa na serikali, sasa unataka viongozi watakao leta maendeleo au wanaoleta maendeleo kivipi? Hayo maendeleo sio hisani ni wajibu wao mdau kuyaleta na kuyatimiza. Jitahidi uelewe hauwezi ukamlazimisha ngamia kulaa, utachoka!!

Lisu anatetea nini mdau!? Unaweza weka mambo mawili ambayo lisu anayatetea? Na anamtetea nani!? Siasa sio lazima uwe lomolomo.
 
Lisu anatetea nini mdau!? Unaweza weka mambo mawili ambayo lisu anayatetea? Na anamtetea nani!? Siasa sio lazima uwe lomolomo.
Kama haujui basi bwana!! Tuache tu, maana asiyejua maana haambiwi maana.
 
Duh, pole naona umeacha kabisa kufikilisha akili yako. Na nadhani hujui maana ya opposition, laiti ungejua ungekaa kimya. Haya wanaoshinda mahakamani, wanashinda kivipi na nani anawapeleka mahakamani? Au hujui Lissu anatetea nini, sitaki niamini maneno yako kama ukweli umeongea baada ya kuwaza au vinginevyo? Hivi hizo ziara za mkulu huoni kuwa ni siasa, ila anazigeuza kama anaenda kuzindua miradi, au haujui kuwa serikali ipo kwa ajili ya wananchi, ila wananchi wako kwa ajili ya kuhudumiwa na serikali, sasa unataka viongozi watakao leta maendeleo au wanaoleta maendeleo kivipi? Hayo maendeleo sio hisani ni wajibu wao mdau kuyaleta na kuyatimiza. Jitahidi uelewe hauwezi ukamlazimisha ngamia kulaa, utachoka!!
Yaan unaongea pumba haikawahi kutokea sema kwakuwa ni uzao wa nyumbu basi sikulaumu
 
Kama haujui basi bwana!! Tuache tu, maana asiyejua maana haambiwi maana.
Jibu ulichoulizwa ..
Ndio maana tunawaita nyumbu kwakuwa mnashangilia msichokijua. Hovyo kabisa
 
Ila ntasikitika kuna watu wataona lisu anaonewa Kwa anayofanyiwa mm naona yupo katika harakat zake za kutafuta kiki na kufunika majina ya wapinzani wenzake aweze kumiliki vchwa vya habar na wavivu Wa kufikirvwaone hakuna MTU Kama lissu ila n swala LA muda yataisha haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namuonea huruma tu kuwa akilala usiku hiyo mishipa ya shingo na uso inavyomuuma. kila siku kuisimamisha siku yaja atajikuta mahakamani yuko pekee wapambe hakuna ameshau mwezie wa Arusha.
 
Lisu ndiye mzalendo wa ukweli wengine wote wachumia tumbo tu jitu limekaa serikalini miaka ishirini naa amakulaa wee Leo ndoanajifanya mzalendo kama ungekuwa mzalendo wa kweli mbona hakuwai kuuonyesha huko nyuma? Na mkubali sana lisu
 
Back
Top Bottom