sky black
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 219
- 398
Sijamtaja lowasa wala sumaye wala mtu mwingine yoyote au jiwe lililotupwa gizani limekupata wewe maana naskia kelele nimemtaja lisu ndiye mzalendo wa kweli japo kajaribu kukemea uwovu hao wengine wachumia tumbo tu au hujanielewa bado?Mmhhh!!
Mbona kama unawatukana Lowassa na Sumaye?