Unajifunza Nini Kuhusu Hii Picha

Unajifunza Nini Kuhusu Hii Picha

Lisu ndiye mzalendo wa ukweli wengine wote wachumia tumbo tu jitu limekaa serikalini miaka ishirini naa amakulaa wee Leo ndoanajifanya mzalendo kama ungekuwa mzalendo wa kweli mbona hakuwai kuuonyesha huko nyuma? Na mkubali sana lisu
Mmhhh!!
Mbona kama unawatukana Lowassa na Sumaye?
 
Kuna siku utabadlsha maneno yako
Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtabadilisha nyinyi kauli zenu lakn sio mm. Tumeshawazoea kubadlisha kauli.
Huyuhuyu lisu alimnanga sana mwlm nyerere kwenye bunge la katiba lakn wakat ukafika wakanza kuzitumia hotuba zake kwenye uchaguzi.

Huyu lisu na wenzake walimtukana sana lowassa lakn wakat ukafika mkaanza kumpaka mafuta na kumuona mkombozi wa chama chenu
Huyu lisu alipiga kelele sana kuhusu wizi wa raslimali lakn wakt umefika leo anawatetea na kusema magufuli hafuati haki kwa wawekezaji.

Ni mjinga pekee na asiye na akili atakaye muamini huyu kigeugeu wenu.
Wakat utafika siku mtakapokuja kuwaona kwamba wenzenu wapo kwaajili ya matumbo yao
 
Lisu ndiye mzalendo wa ukweli wengine wote wachumia tumbo tu jitu limekaa serikalini miaka ishirini naa amakulaa wee Leo ndoanajifanya mzalendo kama ungekuwa mzalendo wa kweli mbona hakuwai kuuonyesha huko nyuma? Na mkubali sana lisu
lowasa na sumaye wamekaa muda gani?
Nyani haoni kundule
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Magu wa kumnyoosha hamna asee pamoja na kuwa malengo ni hayo lakini ataangukia pua mbaya kabisa,kameni kwa upande wa magu 2020 zilishaisha imebaki kumtangaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Magu siyo Mungu haiwezekani katika watanzania wote hakuna wakumnyoosha Magu nasema no. Tena big no ni nyie mnaoumpa promo tu. Hata akijamba mnamsifia. Kavunja dirisha kwa utoro wa shule mnamsifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu siyo Mungu haiwezekani katika watanzania wote hakuna wakumnyoosha Magu nasema no. Tena big no ni nyie mnaoumpa promo tu. Hata akijamba mnamsifia. Kavunja dirisha kwa utoro wa shule mnamsifia

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani sana tu kuvunja dirisha na utoro wapi na wapi ?ukiacha mihemko ya kivyama nieleze magu alichofanya kibaya au anahofanya kibaya,ila kama kati ya anayoyanyoosha na weww ni mmoja wapo mlionyooshwa hauwezi kumuelewa,poleni sana lkn

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom