Unajifanya huabudu freemason?

Unajifanya huabudu freemason?

Status
Not open for further replies.
Mkuu ungefuatilia kwa wanaojua kiingereza nn maana ya FOOTBALL NA WOOD... nolywood bollywood... Maana nina mpango wa kubadilisha jina la tim yangu ya mpira hilo neno football lisiwepo
 
View attachment 263725chama cha mpira kilizinduliwa tar 26 hii sio bahati mbaya angalia cheo cha juu kabisa kina watu 13 hao ndio top layer kwahiyo chukua 26÷2=13 au 13×2=26

namba yoyote inaweza kutoa 13 ni hesabu za namba tu mfano 26-6-2015, 2+6+6+2+0+1+5=22, kwa hiyo 22=11×2 , 11+2=13 kwa hiyo namba yoyote inaweza kutoa jibu ulitakalo sio lazima 13 tu
 
Exactly shost. Wakija hapa watakana kwa njia zote ila jackline wolper kaishakiri hadharani

Na hivi vtu viko well planned sana kuondoa watu kwenye mstari hasa kwa kupitia entertainment kuchota wengi. Mfano issue ya caitlyn Jenner unafikiri imeanzia wapi hii win sijui love na Obama ana support kabisa. Yote yaliyoandikwa yanaanza kutukia.
 
Yote yaweza kuwa Sawa lakini ikumbukwe kwamba msimamo na mtazamo wa haya mambo ya FREEMASON ni wewe mwenyewe unayachukuliaje. Make haya masuala yamekua ni mtambuka sana kwa kutiliwa vikolomboizo vya kila aina jambo la msingi ni kushika ulipo shikilia ikiwa unaamini kwamba wao ndo wafanyaji basi itakuwa ni vigumu pia kuamini kama ukiambiwa wao sio wafanyaji wa hayo mambo......... ACHA WAFU WAZIKE WAFU WAO....Curse on you all FREEMASONRY!!!!!
 
namba yoyote inaweza kutoa 13 ni hesabu za namba tu mfano 26-6-2015, 2+6+6+2+0+1+5=22, kwa hiyo 22=11×2 , 11+2=13 kwa hiyo namba yoyote inaweza kutoa jibu ulitakalo sio lazima 13 tu

Hangaika na hiyo halafu linganisha na hizo namba zako 1435347249631.jpg Agogwe haya mambo hayaendi kwa kujiandikia tuu...Tulia usome kwa makini utagundua siri kubwa
 
Last edited by a moderator:
Yani we ni mvivu wa kufikiri yani neno football kwenye chama cha mpira ni mason.
Kwahiyo ulitaka waweke headball

mkuu me kweli ckuelewa alichoandika umo ndani zaidi naona mapichapicha pale yanamabikari na majicho.nalinganisha izo dots bado sioni kitu.me naona mtoa mada kama ungejitahidi kua na maelezo ya kujitoshereza.mada ngumu kama izi hazitaki uandike kwa kua we unajua.andika kama unawaelewesha watu wasiojua kbisa.na hayo mahesabu cjui yanakujaje hpo.
 
1435348287550.jpg Hii ni alama muhimu kwenye vyuo vya tiba na mahospitali hii ni mojawapo ya alama kuu za freemason...kwa kifupi tunaishi katika dunia ya freemason kwenye kila kitu tunachofanya 1435348287550.jpg
 
Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu??Watashindana lakini hawatashinda..
 
Yote yaweza kuwa Sawa lakini ikumbukwe kwamba msimamo na mtazamo wa haya mambo ya FREEMASON ni wewe mwenyewe unayachukuliaje. Make haya masuala yamekua ni mtambuka sana kwa kutiliwa vikolomboizo vya kila aina jambo la msingi ni kushika ulipo shikilia ikiwa unaamini kwamba wao ndo wafanyaji basi itakuwa ni vigumu pia kuamini kama ukiambiwa wao sio wafanyaji wa hayo mambo......... ACHA WAFU WAZIKE WAFU WAO....Curse on you all FREEMASONRY!!!!!

Taratibu utaelewa kwakuwa freemason ndio dini mpya inayokuja Afrika angalia hizo takwimu hapo ni kama ulivyokuwa ukristo zamani huko kwao ulishamiri na kustawi lakini sasa ni kama hapo
Freemason nayo inaingia kwa kasi kubwa Africa kina kona saivi ni FreeMason ulaya inaishia 1435348771263.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom