Unajifanya huabudu freemason?

Unajifanya huabudu freemason?

Status
Not open for further replies.
mshana this is too low kwa wewe kupost.. Uliyoandika na unayoandika yapo hapa kitambo na hata magazeti ya udaku yameandika sana,..... Sijui kwann umeanzisha mada hii. Ur above this level bro
 
mshana this is too low kwa wewe kupost.. Uliyoandika na unayoandika yapo hapa kitambo na hata magazeti ya udaku yameandika sana,..... Sijui kwann umeanzisha mada hii. Ur above this level bro

You may be right sexologist lakini leo nimepakua mapishi toka mtandaoni na kujaribu kuyaleta kwenye uhalisia...udaku unaandika as if ni mambo ya waganga wa kienyeji, hebu fuatilia picha zote kwa makini uone na maelezo niliyojaribu kutoa na viambatanishi vyake
 
Last edited by a moderator:
1435349492451.jpg 1435349503907.jpg
Haya mapicha ni ya wenyewe huko ninachofanya ni kuongezea kwa lugha rahisi
 
Taratibu utaelewa kwakuwa freemason ndio dini mpya inayokuja Afrika angalia hizo takwimu hapo ni kama ulivyokuwa ukristo zamani huko kwao ulishamiri na kustawi lakini sasa ni kama hapo
Freemason nayo inaingia kwa kasi kubwa Africa kina kona saivi ni FreeMason ulaya inaishia View attachment 263758
Ndo maana nikasema wataifata wale ambao wanaona ina manufaa kwao... lakini kama mtu unajitambua kamwe huwezi kuingia mkenge kwa mambo kama hayo...
 
Here we go again CONSPIRACY CONSPIRACY CONSPIRACY
 
Kuokoa nguvu na muda acheni kuangalia movies, michezo, acheni kutumia internet, simu, magari

Kuamini conspiracies ni mzigo mzito kuliko ujinga
 
Njaa ikiwa kali hakuna kitu kma free mason mi usanii tu..!
 
mkuu me kweli ckuelewa alichoandika umo ndani zaidi naona mapichapicha pale yanamabikari na majicho.nalinganisha izo dots bado sioni kitu.me naona mtoa mada kama ungejitahidi kua na maelezo ya kujitoshereza.mada ngumu kama izi hazitaki uandike kwa kua we unajua.andika kama unawaelewesha watu wasiojua kbisa.na hayo mahesabu cjui yanakujaje hpo.

Mkuu Naunga Mkono Maelezo Yako.Hata Mimi Sijaona Hoja Yeyote Iliojengwa Na Mtoa Mada Zaidi Ya Kutujazia Tu Mapicha Yasiokua Na Maelezo Yeyote Ya Kina
Mimi Mpaka Sasa Sijaona Huo Uhusiano Wa Wood Football Na Hiyo Masonic.Na Hata Hizo Dots Za Kuunganisha Sizioni.
Mtoa Mada Alitakiwa Atupe Maelezo Ya Kutosha Kwa Sisi Ambao Hatujaelewa Kabisa Ili Na Sisi Tupate Mahali Pa Kuanzia Kujenga Hoja Uenda Tungemuelewa.Inaweza Kua Mtoa Mada Anahoja Ya Msingi Inayohitaji Tafakuri Ya Kina.Lakini Kutujazia Mapicha Yasiokua Na Maelezo Yeyote Ni Km Kujaza Uchafu.Sitak Kusema Mtoa Mada Amekurupuk Ila Ningemuona Atupe Ufafanuzi Kidogo Kw Sisi Best Vilaza
 
Hizi mambo ukizifatilia utachizi tu....Amini ukuu Mungu tu, hao wengine ni vimiungu/ vishetani hupaswi kuviogopa, fallen angels and Lucifer are hereon earth to deceive you!!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom