Unaitambuaje TV feki?

Unaitambuaje TV feki?

yello masai

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
3,901
Reaction score
4,128
Nawasalimu ndugu zangu.

Nilinunua TV aina ya Boss lakini sasa imenichosha, kila siku inaungua taa.

Nataka sasa kununua ya kampuni moja wapo kati ya Samsung, Sony au TCL.

Sasa je kuna TV feki? Nitazitambuaje?
 
Mi natumiaga kampuni mbili, Samsung na LG. Hazijawahi nisumbua.

Pia unaweza kuingiza model number online kama ni original itakuletea maelezo yake.

Pia nimekuja kugundua ukitaka Tv original nunua mtumba, ingawa dukani orijino zipo lakini bei ipo juu.

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu. TV mtumba nitazipata wapi? Kama ni k.koo ni sehemu gani?
Natanguliza shukrani.
 
Kwa brand kubwa TV OG smart itakuja na proprietary software.

Mfano Samsung itakuja na software ya Tizen na LG itakuja na software ya web os. Hizi software zipo unique na hazifanani na kampuni yoyote ile.

Kwa kina Sony na TCL utakuta Android ambayo ni certified, Android tv yenye playstore na comp ability ya apps za TV kama tivimate.

Android uatakayoikuta TV za kichina ni ya Tablet haina tofauti na simu, hutakuta vitu vingi ambavyo ni essential.
 
Kwa brand kubwa TV OG smart itakuja na proprietary software.

Mfano Samsung itakuja na software ya Tizen na LG itakuja na software ya web os. Hizi software zipo unique na hazifanani na kampuni yoyote ile.

Kwa kina Sony na TCL utakuta Android ambayo ni certified, Android tv yenye playstore na comp ability ya apps za TV kama tivimate.

Android uatakayoikuta TV za kichina ni ya Tablet haina tofauti na simu, hutakuta vitu vingi ambavyo ni essential.
Vipi kuhusu Hisense mkuu CHIEF MKWAWA
 
Hisense naonaga km ni utopolo tu. Ukiona tv zinauzwa kwa fujo kila mtu anauza jua hamna kitu. Nenda kanunue LG au Samsung. Hizo hisense naada ya miaka miwili picha inapungua ubora
izo tv zinauzwa kama nguo pale kariakoo zinachuja mwaka tu unaanza kuona vitu tofauti.
 
Binafsi Nina shida Kama week mbili zilizopita nilinunua smart TV Aina ya TCL lakini nikiitumiaaa Kuna muda inafika inajizima yenyewe mpaka niiwashe Tena kwa remote je nitatizo la kawaida au nishida msaada?
nenda kwenye rmot yako na ukaweke timer off iyo itakua ilsetiwa kama baada ya masaa mawil ijizime au ikfka saa nne usku ijzme n swala la seting ingekua n mbovu pale ipojzma isnge kubal kuwaka
 
Back
Top Bottom