kuna jmaa anayo hisense alinunua mwaka jana mwezi kama wa tisa ipo ila ule uangavu umepote iko na brightness nyeupe sana hata kama pich ni ya maua ya kijaniMkuu umeitumia?
then apps zinazingua kama youtube mara unfortunately has stopped anairestart kila mda haina zmuka sauti inakroma kama mtu yuko bafuni halafu anaongea