Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,110
- 32,593
Vyema.Kuhusu umri wewe muombaji unapaswa kua na miaka 25 na kuendelea na age difference ya miaka 21 walau
Ila bado kuna vijiswali pale juu.
Nasubiri Dkt aje kunifafanulia.
Vyema.Kuhusu umri wewe muombaji unapaswa kua na miaka 25 na kuendelea na age difference ya miaka 21 walau
YesVyema.
Ila bado kuna vijiswali pale juu.
Nasubiri Dkt aje kunifafanulia.
Naomba niyachukue maswali yenu yote kesho Kamishna wa Ustawi ayajibu vizuri kisha nitapandisha hapa majibu yote. Wengine nao waulize tu. Ahsanteni Sana kwa mwitikio wenu🤝Dkt. Gwajima D
Ni wazo zuri sana na nimelipenda bila pasi na shaka.
Naomba kuuliza, je, utaratibu huo pia unahusisha katika uasili kwa watoto pacha?
Pia, katika vigezo vikuu vya kuasili, ni lazima kutakuwa na kimoja au viwili ambavyo viko strong na ndio mara nyingi ninyi kama wizara huwa mnaangalia kwa umakini sana.
Unaweza kubainisha vigezo vikuu?
Yamkini, ninajua hayo yaliyoorodheswa, ila hujasemea suala la umri, mazingira yapi ni rafiki sana kwa uasili wa mtoto/watoto.
Na je, naruhusiwa kuasili kuanzia watoto wangapi?
Na pia, hata wa kariba lingine mf. wa kikorea, wa kizungu etc, almradi tu nimemkuta kituoni?
Asante.
Hata hivyo asante kwa kunijibu baadhi ambayo nilikuwa siyafahamu vyema.Yes
Niliona, nilijibu tu vile nilivyoona kwenye sheria chap kwa haraka, atakuja na majibu sahihi zaid
Ya kwangu yawe ya mwanzo kabisaNaomba niyachukue maswali yenu yote kesho Kamishna wa Ustawi ayajibu vizuri kisha nitapandisha hapa majibu yote. Wengine nao waulize tu. Ahsanteni Sana kwa mwitikio wenu
Nawe asante sana mkuu kwa uwepo wako hapa Jamii forums.Naomba niyachukue maswali yenu yote kesho Kamishna wa Ustawi ayajibu vizuri kisha nitapandisha hapa majibu yote. Wengine nao waulize tu. Ahsanteni Sana kwa mwitikio wenu🤝
🙏Muda ni Mwalimu mwema kwa Kila swali. Tuzidi kupambanua kile Mungu ameweka ndani yetu, muda wetu ni mfupi na unapita kasi, saa inakuja ya kuuona uso wake na kupimwa kwa mizani yake. Nakutakia Heri na Baraka za Mungu. 🤝
Naomba kuuliza hivi unapeleka ombi baada ya kutaka kumchukua mtoto fulani au unapeleka maombi wao ndo wanapoint mtoto yeyote wanayemtaka unapewa !Asante mama kwa muongoza huu... Mungu akubariki. Maana kuna mtoto ni natamani kumchukua ila nilikuwa sijui naanza wapi
Mama nakuomba sheria ya watoto kuingia baa itungwe, yaani sasahivi baa zinawekwa na mabembea kabisaAhsante Sana kwa maoni, tutawasilisha mapendekezo kwenye utaratibu.
😂😂😂 Kuna siku nimeingia Bar fulani ni mida ya saa tano usiku mtoto anafanyiwa birthdayMama nakuomba sheria ya watoto kuingia baa itungwe, yaani sasahivi baa zinawekwa na mabembea kabisa
Pyuu,yaani wewe nikikumbuka ulivyozaa nje,tangu siku hiyo nakuona mzee wa hovyo.Mimi ni baba mtu mzima, nahutaji jimama wa Kuni adopt
Naam iwe hivyoAwe mke mkubwa au?
Acha mizaha na utoto wewe, unadhani hapa tupo kwenye mchezo na mizaha? Watu wanajadili mambo ya msingi unaleta utani utadhani kila sehemu ni sehemu ya utani.Mimi ni baba mtu mzima, nahutaji jimama wa Kuni adopt
Ni mtazamo na fikra zako tu, nadhani wewe ndie unatakiwa kubadilika na kupewa elimu kuhusu matumizi sahihi ya neno kambo.Hili neno kambo lina ladha na vimelea vya unyanyasaji, mateso kutokuwepo amani na furaha, nashauri litafutwe neno jingine kama inavyoanza kuzoeleka kwa maneno Mama, Baba, Kaka wa hiari
nchi ya kijinga sana hiiKwa sasa sheria iliyopo hairuhusu mwanaume
well done waziri dr.gwajimaWasaalam Wana Jukwaa wote.
Kwa aliyebarikiwa neema ya Kulea watoto kwa malezi ya kambo au kumuasili kisheria awe wake;
UTARATIBU;
Baada ya kuwasilisha maombi Halmashauri;
1. Afisa Ustawi wa Jamii atakutembelea na kufanya tathmini.
2. Taarifa itawasilishwa kwa Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizarani.
3. Iwapo hakuna hoja pingamizi, Kamishna atatoa kibali kwa mwombaji kumtambua mtoto.
4. Afisa Ustawi wa Jamii ataendelea kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya familia iliyomtambua mtoto na kuanza kumlea malezi ya kambo.
5. Taarifa ya maendeleo ya malezi ya kambo baada ya mathalani miezi sita hivi itawasilishwa tena kwa Kamishna, kwa ajili ya kuthibitisha kuwa maendeleo ya malezi ya kambo ni mazuri, hakuna changamoto hivyo, kibali cha kwenda mahakamani kuomba ridhaa ya Kuasili mtoto huyo kitatolewa.
Hakuna malipo yoyote epuka ulaghai wa wasio waadilifu.
Mlete Dawati la jinsia tafadhali. Usiruhusu hasira ifungue safari ya kuvuruga maisha yako na Baraka zako. Kuwa mtulivu, fuata utaratibu. Shukrani