Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

Tech Max

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2025
Posts
337
Reaction score
308
Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam, nicheki 0756704145
 
Fundi mitambo nipo mashine za viwandani,vyombo vya moto, air conditioner,fridges, mashine n.k
 
Mashine aina zote kama za kusaga,kilimo n.k, magari aina zote, air conditioners zote, na mitambo mingine mingine nicheki 0756704145, una mitambo gani wewe au mashine gani?
Kwa sasa sina ila ni vizuri kuelezea ujuzi wako ili wenye uhitaji wakutafute. Ahsante kwa number.
 
Back
Top Bottom