Habari zenu kama kuna mtu anahitaji kijana wa kazi anijuze, kuna kijana anahitaji kazi namfahamu kwa undani yuko vizuri upande wa nidhamu ma kila kitu.
Anahitaji kazi kwa sasa mshahara usipungue 60, apewe malazi na chakula, yupo Kagera anayehitaji anijuze.yupo tayari kwenda mkoa wowote
Anahitaji kazi kwa sasa mshahara usipungue 60, apewe malazi na chakula, yupo Kagera anayehitaji anijuze.yupo tayari kwenda mkoa wowote