Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,872
kusema kila kitu ? hapana siwezi kabisa . haswa mambo ya \zamani
Karibu sana mkuu life is full of mixtureFor the very first time, nakutana na uzi wenye positive ideas about marriage!
Maana siku hizi kila Uzi huyu katendwa, huyu kafumaniwa, huyu anachepuka, yule kafanya vile!
Intact, mmekua mkituvunja moyo sisi ambao bado hatujaoa na mmekua mkituaminisha kua ndoa ni kamali.
Kila mtu anazungumzia mabaya ya ndoa as if hakuna mazuri. Hii ni mbegu mbaya for the young generation.
Thanx mkuu, atleast you said something positive!
Ukisha pendwa na mshua anataka akupose usiogope kuweka mambo bayana bora ukweli mchungu kuliko ukweli wa majutokusema kila kitu ? hapana siwezi kabisa . haswa mambo ya \zamani
Ni kweli data ila nimeona matatizo mengi ya ndoa ninayo mengi nimejifunza lakini nashukuru kila ninapoikuta siku mpya naifanya ndoa yangu kua sehemu salama kabisaWe bado mgeni tu... Ngoja vikukifu..
kuna mambo hayana hata maana kuyasema.Ukisha pendwa na mshua anataka akupose usiogope kuweka mambo bayana bora ukweli mchungu kuliko ukweli wa majuto
Bora ukweli mchungu kuliko ukweli wa majutokuna mambo hayana hata maana kuyasema.
.............Bora ukweli mchungu kuliko ukweli wa majuto
kwani usiposema mambo ya zamani atajuaje? na akiyajua yatamuhusu nini?Bora ukweli mchungu kuliko ukweli wa majuto
heee kumbe limbwata ni real eehKazi ni ndogo mfatilie pm muulize last time aliwasiliana na Mimi ni lini kama umeshindwa yote hayo hizo hapo 0782 732960 namba zangu za family hiyo simu anakaaga na mke wangu mwambie huyo niliyemfata PM AKANIRIPOTI KWA MKE WANGU nimeziweka hadharani CONFIDENT,
Tatizo kinachosumbua ni kushindwa kuelewa kuwa hawa wanawake wenyewe wanajua kua tulishawah kua na maisha kabla hatujao.
Kwa kukusaidia Mimi huwa napenda kuweka karibu mambo mengi huku ili kiwe fundisho kwa wengine. Iwe nimeona au kimenikuta. Mr mimi sio wale wajamaa unaofikiri mzee.
Sorry kama nimekukosea but prove that you have manhood in you thank you NAMPENDA MKE WANGU NEVER WILL I BETRAY HER.
In case u wanna be I advised kimahusiano njoo PM ntafute ntakupa mwanga
Shuntama ya nshamba mulebaheee kumbe limbwata ni real eeh
Napenda sana mpira wa kikapuMkuu unapenda sana Pool Table enhee?
What are you trying to say.............
Past hunt us like devil hunt sinnerskwani usiposema mambo ya zamani atajuaje? na akiyajua yatamuhusu nini?
Umesema neno jema sana mkuu ,ni vyema kuifanya kila siku kua siku bora kwenye ndoa yako maisha ndio haya hayana marudio ukikosea umekosea ukipata nafasi nyingine weka vitu sawa.Ni sawa Mkuu,isipokuwa tu ni kwamba hatujifahamu vizuri kama ambavyo tungetamani, Mambo hubadilika. Unachodhani hakipo kinaweza kuwepo tu.Ni mpaka tunapokufa ndipo historia inakamilika.
unamatatizo weweheee kumbe limbwata ni real eeh