- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,060
- 10,462
We utanitoa damu!
Mercy unamuachia nani?
We utanitoa damu!
Mercy unamuachia nani?
Well said, thanks in advanceUnaposikia habari mbaya nyingi za ndoa haimaanishi kuwa hakuna ndoa zenye habari nzuri, changamoto zipo ndani ya ndoa kama zilivyo tu kwenye maisha ya kawaida ya kifamilia, kikazi na kijamii pia. Lakini huwa tunatafuta njia bora ya kuzitatua hizo changamoto na si kuwa unaacha kazi, au kuikimbia familia.
Worse part wanaokosoa hawakuwai kuweka effort ya ku rescue ndoa zaoTunavyopendaga habari mbaya sasa za ndoa. Mtu akileta habari nzuri tu naanza "utakuwa mgeni kwenye ndoa, subiri ifike miaka kadhaa" kiruuuu. Yani nisienjoy ndoa hadi ifikishe miaka 10? Too much negativity