Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
4,764
Reaction score
7,135
Dah,

attachment.php
 

Attachments

  • 1448026245928.jpg
    1448026245928.jpg
    41.3 KB · Views: 9,556
Huyu Ni Mnafki Sana Hadi Kauwa Upinzani Kigoma!
 
Sasa mnalalama nini Kama kafulila alifanya vitu wananchi si wangemchagua.kama vipi kafulila agombee kongwa
 
Huyu jamaa ni mnafiki kiwango cha juu kabisa anatafuta huruma ya ccm

Hawa sio aina ya viongozi tunaowataka wako radhi tutimiza matakwa yao na kuacha matakwa ya watz

Swala la znz sio la kulifumbia macho kabisa ni lazima watz tukatae huu ufinyangwaji wa katiba

Watu wanafuta uchaguzi bila sababu ya msingi leo mnakuja wasifu kuwa wanademokrasia huu ni ujinga
 
Leo kadhihirisha rangi zake halisi hata kwa waliokuwa hawajamwelewa. Kwa hiyo uhalisia kati ya Usaliti na uzalendo umekuwa katika 'Blacka and white'
 
Tatizo liko wapi hapo? Sioni aliposema atapiga kelele bungeni, bado haibadilishi mtazamo wale.
 
Huyu jamaa ni mnafiki kiwango cha juu kabisa anatafuta huruma ya ccm

Hawa sio aina ya viongozi tunaowataka wako radhi tutimiza matakwa yao na kuacha matakwa ya watz

Swala la znz sio la kulifumbia macho kabisa ni lazima watz tukatae huu ufinyangwaji wa katiba

Watu wanafuta uchaguzi bila sababu ya msingi leo mnakuja wasifu kuwa wanademokrasia huu ni ujinga
Lakini sidhani kama Zitto amefanya kosa nyinyi si mlimfukuza chadema kwanini mnataka afuate sera zenu wakati yeye siyo mwana ukawa anajua alichotumwa na wananchi wake, kitendo cha wabunge wa upinzani kuzomea ni cha kijinga sana na kwa mtu anayeshabikia hili naye ni hovyo kabisa.
 
Zitto tisha sanaaa....umeonyesha kwanza una hofu ya Mungu, pili una heshimu sheria kwani Rais keshaapishwa, znz kuna katiba na tafsiri zipo, ukishindwa fungua kesi mahakamani kuomba tafsiri mtaadhirika km mita 200,....

.
 
Huyu ni Zitto Zuberi Mrema. Kuwepo kwake pale ni kuonyesha anamuunga mkono Shein kama Rais wa SMZ tofauti na zile kauli zake za awali
 
Back
Top Bottom