Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,233
1.Unajifanya unasuluhisha watu wanapigana kumbe kimoyo moyo unataka wadundane ila unasuluhisha tu ili uonekane unajali
2.Kujifanya unasuluhisha wapenzi waliogombana kumbe kimoyo moyo unataka waachane ili ufaidi.
3...................
4...............
5................
endelea
2.Kujifanya unasuluhisha wapenzi waliogombana kumbe kimoyo moyo unataka waachane ili ufaidi.
3...................
4...............
5................
endelea