Adrian Stepp
R I P
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,600
Mwanamke mmoja mkazi huko moshi ambae alisadikika kumuua mumewe mwenye kipato (kama kawaida yao) basi baada ya mumewe kufariki ndugu na jamaa na marafiki walikusanyika kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao.
kama kawaida maiti ilipotoka hospital kwa ajili ya kufika kwa mazishi huingizwa ndani sitting room na mke na watoto wakawa tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.
Jeneza likafunguliwa wakati bibie anaenda kuaga akawa analijiliza kupita kiasi kila wakimsihi wapiiii!! "mume wangu weee bora ungenisubiri tufe wotee" ntalea na nani hawa watoto..nk.. sasa bwana ile anafika tu pale kwenye maiti mara panya na nyoka wakawa wana fukuzana darini ghafla ile mama anafika tuu kwenye jeneza nyoka akaangukia ndani ya maiti!!
sasa watu nje wakawa wametulia wanasubiri zamu ifike ghafla bin vuu yule mama wanamuona anatimka mule ndani kama hana akili nzuri na machozi yote kushnei.
kilicho washangaza watu ni kwamba alikua hana hata nguvu za kusimama sasa je zile nguvu za kutimkia mbaka mtaa wa pili alizipata wapi???
watu wanafki sana!
Unautani sana weye, nyoka!
MH WEWE UNGESIMAMA?
alimuje huyo mumewe kwa lisasi?
Mpaka leo waafrica hatuna natural death pa lefu kweli kweli!
Mbona unatoa siri zangu hapa? Nalog offkuna mtu alikuwa anataka kujinyonga, wakati ameshafunga kamba yake kwenye mti anataka kuingiza kichwa kambani akatokea simba, jamaa alitimua mbio za mwaka na kamba akaiacha na hakurudi tena akaahirisha na zoezi
Nyoka muziki mwingine kaka...Mwanamke mmoja mkazi huko moshi ambae alisadikika kumuua mumewe mwenye kipato (kama kawaida yao) basi baada ya mumewe kufariki ndugu na jamaa na marafiki walikusanyika kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao.
kama kawaida maiti ilipotoka hospital kwa ajili ya kufika kwa mazishi huingizwa ndani sitting room na mke na watoto wakawa tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.
Jeneza likafunguliwa wakati bibie anaenda kuaga akawa analijiliza kupita kiasi kila wakimsihi wapiiii!! "mume wangu weee bora ungenisubiri tufe wotee" ntalea na nani hawa watoto..nk.. sasa bwana ile anafika tu pale kwenye maiti mara panya na nyoka wakawa wana fukuzana darini ghafla ile mama anafika tuu kwenye jeneza nyoka akaangukia ndani ya maiti!!
sasa watu nje wakawa wametulia wanasubiri zamu ifike ghafla bin vuu yule mama wanamuona anatimka mule ndani kama hana akili nzuri na machozi yote kushnei.
kilicho washangaza watu ni kwamba alikua hana hata nguvu za kusimama sasa je zile nguvu za kutimkia mbaka mtaa wa pili alizipata wapi???
watu wanafki sana!