Nimependa apo mwisho ulivyomaliziaWanawake mkuu sio wenzetu ila tunaishi nao tu!......ukipata ambaye anajielewa unaweza kuifanya dunia kua sehemu ya starehe/peponi kabisa.
Ila balaa huja Kama ukipata lijanake tu Bora mwanamke duuh aisee dunia inaweza kua kuzimu ndogo na ukatamani hata usingekuwepo.
Katika yote hao ndio wazazi akina baba Ni walezi hivyo tushukuru kua tupo leo because of our mothers!
Nashukuru mkuu!Nimependa apo mwisho ulivyomalizia
BaaasiiiiiKikubwa stor tu
😁😁😁😁huyo wa kwanza hapo ni Miss_Irene namjua kabisa
MonopoulseWengi wao ni Monopoulse na Masingle mother's....
Nimeshajibu vya maana .. nimeona nije kukuongezea commentsHuu mda nawe si ungetumia kujibu vitu vya maana tu mkuu
hajuiMkuu na hajui kama unampenda
14. Most women in here JF are single mothers.Habari za mda huu wanaJf
Poleni na majukumu (kwa wale wataftaji)
Hongera kwao pia. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu (kwa wale wafanyao shughuli halali)
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.. kwa kuanza na Mimi nafikiria kwamba
1.wapole
2.wanaakili za maisha
3.wengi wao ni umri (25_35)
4.wengi wameolewa
5.sio wambea kivile
6.hawatongozwi kiraisi😂
7.wengi wa dar es salaam
8.huwai kupika mapemaa
9.warembo kinoma
10.walezi wazuri wa familia
11.hawapendi hela kivile😂
12.upendo wa dhati
13.aaaaa ongezea na wewe uwafikiriavyo👇👇
Ipo njiani inakuja mkuu😁😁Kuna hii pisi Kali inaitwa Christina George sjui iko wapi
MUNGU awajalie apo walipo wavuke salama🙏14. Most women in here JF are single mothers.
15. Most women in here JF are so desperate, stressed and depressed( wamekata tamaa, wenye msongo wa mawazo na wenye huzuni)
16. Most women in JF are loose-women( Hawajui kumkataa mwanaume)