Boloyoung
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 680
- 627
1. Ukimwambia mambo anaitikia kwa herufi p na k
2. Ukimuomba picha anakwambia wew mbona hujantumia
3. Ukiuliza maswali matatu kwa pamoja anajibu moja tu mengine ni uvivu kutype
4. Ukimwambia tufahamiane anasema anza wewe na ukimaliza ili yeye aanze bas anakuwa offline
5. Kawaida yao huwa hawaanzi kukutafuta hewani hata kukupa Hi tu usipomtafuta ndo imetoka iyo
6. Wamejijengea mawazo kuwa kila MTU kwenye social sites anatafuta mpenzi tu (hawawazii urafiki wa dhati)
7. Wengi hawapendi maswali na hukaa kimya ila ukiweka DP ya demu mwingine utaona txt msalimie mkeo
8. Wanapenda kujifanya wapo busy sana hawajibu txt ila ukimu add kwenye magroup ya mapenzi wanashinda wanapost tu comments
9. Mnajuana leo kesho anakuomba elfu kumi ana shida nayo sana ( maboya yanakamatwa)
10. Ukifanikiwa kupendwa na hawa mademu atakuja kwako kwa nauli yake ila kama ndo umemtokea akakubali basi andaa nauli ya kuja kwako
11. Mwisho wanaamini hakuna ndoa inayopatikana mtandaoni ( wote ni wachakachuaji tu)
..... huwa najiuliza hivi kuna dunia inaitwa mtandaoni??! Kwamba watu waliomo humo sio hawa wa hii dunia!
2. Ukimuomba picha anakwambia wew mbona hujantumia
3. Ukiuliza maswali matatu kwa pamoja anajibu moja tu mengine ni uvivu kutype
4. Ukimwambia tufahamiane anasema anza wewe na ukimaliza ili yeye aanze bas anakuwa offline
5. Kawaida yao huwa hawaanzi kukutafuta hewani hata kukupa Hi tu usipomtafuta ndo imetoka iyo
6. Wamejijengea mawazo kuwa kila MTU kwenye social sites anatafuta mpenzi tu (hawawazii urafiki wa dhati)
7. Wengi hawapendi maswali na hukaa kimya ila ukiweka DP ya demu mwingine utaona txt msalimie mkeo
8. Wanapenda kujifanya wapo busy sana hawajibu txt ila ukimu add kwenye magroup ya mapenzi wanashinda wanapost tu comments
9. Mnajuana leo kesho anakuomba elfu kumi ana shida nayo sana ( maboya yanakamatwa)
10. Ukifanikiwa kupendwa na hawa mademu atakuja kwako kwa nauli yake ila kama ndo umemtokea akakubali basi andaa nauli ya kuja kwako
11. Mwisho wanaamini hakuna ndoa inayopatikana mtandaoni ( wote ni wachakachuaji tu)
..... huwa najiuliza hivi kuna dunia inaitwa mtandaoni??! Kwamba watu waliomo humo sio hawa wa hii dunia!