Unafiki wawa pigakula

Unafiki wawa pigakula

estony

Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
95
Reaction score
19
Trump akiwa katika kampeni zake alikosa support kama magufuri lakini mwana mama Clinton alikuwa nawatu wengi kama baba lowasa lakini ktkt uchaguzi trump ameshinda vizuri kabisa kwa Kura za wale wale ambao walimkataa nakumwacha pekeyake nimebaki na qz je? Trump. ameiba kura mtazamo wangu staki kauli mvaya team captain
 
Hillary ameshinda kwa wingi wa kura.
 
*Unafiki wa wapiga kura*


Trump ameshinda kwa ELECTORAL votes
H. Clinton ameshinda kwa kura nyingi POPULAR votes

Ingekua Tanzania mshindi angekuwa Bi. Clinton
 
Unajua watu wanashindwa kuelewa kwa nini watu wanaandamana,ukweli ni kwamba H. Clinton ndiye wapiga kura walimchagua lakini kutokana na mfumo wao wa uchaguzi aliyetangazwa mshindi ni mwingine, kwa ushindi wa electro votes.not fair at all but ndio mfumo mliojiwekea inabidi kukubaliana nao!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom