Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Yale matusi, chuki za wazi, vijembe , hasira na kebehi za wanachadema kwa serikali hii, au hata mwenzao ambaye ana mawazo ya tofauti umezidi kuiacha uchi chadema
Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila tumeambulia matusi na kebehi
Matusi ya wanachadema kwenye social media hauwezi kuamini kabisa kuwa hawa watu ndio wanakula pasaka ya leo ili hali Mbowe, mbowe huyu huyu yuko ndani!!
Haikuwa rahisi kudhania sugu atawekwa ndani(bado yumo ndani)
Mbowe ukitoka, badilisheni style ya siasa zenu. watanzania wanachuki mdomoni na wana upendo moyoni!! pale wanapokuwa wana upendo mdomoni na wanachuki moyoni..ni WANAFIKI..kweli mbowe wewe wa kulala ndani huku salary slip, nguruvi, mag 3, na wote chadema kindakindaki wanakula pasaka kwa raha zote!!..bila hata drama za kisiasa kuonyesha mko ndani?
Mbowe, Magufuli hachukiwi!!..Magufuli anatakiwa kuwa supported kwa nguvu zote ili CDM ipate support ya wananchi....unatakiwa kujipambanua na kwenda hatua ya mbali ambayo utawaambia wananchi kile ambacho unajua magufuli hataweza
kwa mfano "kusema CDM inaunga mkono jitihada zote za rais kwenye kudhibiti madini" ILA sisi chadema tukipata fursa tutahakikisha wale waliolifikisha taifa hapa tunawatafuta na kuwafilisi" unaposema hivi CDM inakuwa connected na jamii directly unapoweka condition ambayo unajua CCM hawataweza unakuwa MPINZANI!!
Hii kanuni rahisi ya busara na kanuni ya dhahabu mmeshindwa kabisa kui capture..mmesahau kucheza SIASA mnaeneza chuki, hasira, vijiba vya roho
Faida gani mnapata sasa? hao wazungu hawawezi kuwasaidia
Nilijua mbowe ukikamatwa Tanzania itatikisika!!'.haitakalika...haitatawalika....nilijua mbowe ukikamatwa mjini kutakuwa hakupitiki!..wanachadema wameonekana mashoga si mashoga, wanawake si wanawake, wamekuwa hayawani, hawaoni soni wala aibu....wanachadema wamekuwa kama kikundi cha taarabu, no siasa ni KUSEMA tu, kuandika tu...kutukana tu
Haya mbowe yuko ndani wako kimya tu..HIVI MBOWE UKITOKA NDANI unakuwa kiongozi wa nani?? kwa nini hamtaki kuamini kuwa siasa bora ni kuitambua jamii husika inataka nini, ina tabia gani? ..mtanzania anaweza kukutukana na kukudharau hata unapodai haki yake!!.ebo!..hallow ..wake up!!..Tanzania siyo nchi ya vurugu, get this fact
wanachadema wanatukana hata unapowapa ushauri mwema!..wako frustrated mpaka hata wakiwa wanakojoa hawajiamini!
Chuki inaleta kansa, mnajiumiza, mnateseka bure!! get life..
ebu anzeni siasa, kwa sasa HAMFANYI SIASA, mnaua chama
wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa
Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila tumeambulia matusi na kebehi
Matusi ya wanachadema kwenye social media hauwezi kuamini kabisa kuwa hawa watu ndio wanakula pasaka ya leo ili hali Mbowe, mbowe huyu huyu yuko ndani!!
Haikuwa rahisi kudhania sugu atawekwa ndani(bado yumo ndani)
Mbowe ukitoka, badilisheni style ya siasa zenu. watanzania wanachuki mdomoni na wana upendo moyoni!! pale wanapokuwa wana upendo mdomoni na wanachuki moyoni..ni WANAFIKI..kweli mbowe wewe wa kulala ndani huku salary slip, nguruvi, mag 3, na wote chadema kindakindaki wanakula pasaka kwa raha zote!!..bila hata drama za kisiasa kuonyesha mko ndani?
Mbowe, Magufuli hachukiwi!!..Magufuli anatakiwa kuwa supported kwa nguvu zote ili CDM ipate support ya wananchi....unatakiwa kujipambanua na kwenda hatua ya mbali ambayo utawaambia wananchi kile ambacho unajua magufuli hataweza
kwa mfano "kusema CDM inaunga mkono jitihada zote za rais kwenye kudhibiti madini" ILA sisi chadema tukipata fursa tutahakikisha wale waliolifikisha taifa hapa tunawatafuta na kuwafilisi" unaposema hivi CDM inakuwa connected na jamii directly unapoweka condition ambayo unajua CCM hawataweza unakuwa MPINZANI!!
Hii kanuni rahisi ya busara na kanuni ya dhahabu mmeshindwa kabisa kui capture..mmesahau kucheza SIASA mnaeneza chuki, hasira, vijiba vya roho
Faida gani mnapata sasa? hao wazungu hawawezi kuwasaidia
Nilijua mbowe ukikamatwa Tanzania itatikisika!!'.haitakalika...haitatawalika....nilijua mbowe ukikamatwa mjini kutakuwa hakupitiki!..wanachadema wameonekana mashoga si mashoga, wanawake si wanawake, wamekuwa hayawani, hawaoni soni wala aibu....wanachadema wamekuwa kama kikundi cha taarabu, no siasa ni KUSEMA tu, kuandika tu...kutukana tu
Haya mbowe yuko ndani wako kimya tu..HIVI MBOWE UKITOKA NDANI unakuwa kiongozi wa nani?? kwa nini hamtaki kuamini kuwa siasa bora ni kuitambua jamii husika inataka nini, ina tabia gani? ..mtanzania anaweza kukutukana na kukudharau hata unapodai haki yake!!.ebo!..hallow ..wake up!!..Tanzania siyo nchi ya vurugu, get this fact
wanachadema wanatukana hata unapowapa ushauri mwema!..wako frustrated mpaka hata wakiwa wanakojoa hawajiamini!
Chuki inaleta kansa, mnajiumiza, mnateseka bure!! get life..
ebu anzeni siasa, kwa sasa HAMFANYI SIASA, mnaua chama
wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa