Unafiki wa wanaChadema kwa Chadema

Unafiki wa wanaChadema kwa Chadema

Waberoya

Platinum Member
Joined
Aug 3, 2008
Posts
15,157
Reaction score
10,816
Yale matusi, chuki za wazi, vijembe , hasira na kebehi za wanachadema kwa serikali hii, au hata mwenzao ambaye ana mawazo ya tofauti umezidi kuiacha uchi chadema

Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila tumeambulia matusi na kebehi

Matusi ya wanachadema kwenye social media hauwezi kuamini kabisa kuwa hawa watu ndio wanakula pasaka ya leo ili hali Mbowe, mbowe huyu huyu yuko ndani!!

Haikuwa rahisi kudhania sugu atawekwa ndani(bado yumo ndani)

Mbowe ukitoka, badilisheni style ya siasa zenu. watanzania wanachuki mdomoni na wana upendo moyoni!! pale wanapokuwa wana upendo mdomoni na wanachuki moyoni..ni WANAFIKI..kweli mbowe wewe wa kulala ndani huku salary slip, nguruvi, mag 3, na wote chadema kindakindaki wanakula pasaka kwa raha zote!!..bila hata drama za kisiasa kuonyesha mko ndani?

Mbowe, Magufuli hachukiwi!!..Magufuli anatakiwa kuwa supported kwa nguvu zote ili CDM ipate support ya wananchi....unatakiwa kujipambanua na kwenda hatua ya mbali ambayo utawaambia wananchi kile ambacho unajua magufuli hataweza

kwa mfano "kusema CDM inaunga mkono jitihada zote za rais kwenye kudhibiti madini" ILA sisi chadema tukipata fursa tutahakikisha wale waliolifikisha taifa hapa tunawatafuta na kuwafilisi" unaposema hivi CDM inakuwa connected na jamii directly unapoweka condition ambayo unajua CCM hawataweza unakuwa MPINZANI!!

Hii kanuni rahisi ya busara na kanuni ya dhahabu mmeshindwa kabisa kui capture..mmesahau kucheza SIASA mnaeneza chuki, hasira, vijiba vya roho


Faida gani mnapata sasa? hao wazungu hawawezi kuwasaidia

Nilijua mbowe ukikamatwa Tanzania itatikisika!!'.haitakalika...haitatawalika....nilijua mbowe ukikamatwa mjini kutakuwa hakupitiki!..wanachadema wameonekana mashoga si mashoga, wanawake si wanawake, wamekuwa hayawani, hawaoni soni wala aibu....wanachadema wamekuwa kama kikundi cha taarabu, no siasa ni KUSEMA tu, kuandika tu...kutukana tu

Haya mbowe yuko ndani wako kimya tu..HIVI MBOWE UKITOKA NDANI unakuwa kiongozi wa nani?? kwa nini hamtaki kuamini kuwa siasa bora ni kuitambua jamii husika inataka nini, ina tabia gani? ..mtanzania anaweza kukutukana na kukudharau hata unapodai haki yake!!.ebo!..hallow ..wake up!!..Tanzania siyo nchi ya vurugu, get this fact

wanachadema wanatukana hata unapowapa ushauri mwema!..wako frustrated mpaka hata wakiwa wanakojoa hawajiamini!

Chuki inaleta kansa, mnajiumiza, mnateseka bure!! get life..

ebu anzeni siasa, kwa sasa HAMFANYI SIASA, mnaua chama

wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa
 
Acha uongo wewe!!! nani aliyekudanganya Tanzania ni non violent country!? Unaishi chini ya jiwe!? Lissu alipigwa risasi 38 akiwa Rwanda? Ben Saanane alipotea akiwa Burundi? Roma na wenziw waliotekwa na kuteswa walikuwa Uganda? Miili inayookotwa ufukweni mwa bahari iliokotwa Somalia na kuja kutupwa Coco beach? Azori Gwanda mwandishi wa Mwananchi aliyepotea kwa zaidi ya miezi minne sasa alipotea akiwa Congo!?

Tatizo lako unafiki unakusumbua sana ndiyo maana unaandika uongo. Ungeacha unafiki ungeona hali halisi ya nchi yetu kuhusu chuki za kutisha, udhalimu, dhuluma na hata mauaji ambayo chanzo chake kikuu ni huyo dhalimu.

Huu uongo wako beba upelele Lumumba kule utawapata wengi watakao kuona wewe ni genius kwa huu uongo wako lakini si humu. Huwezi kudai huyo dhalimu ni kiongozi mzuri huku akidharau katiba ya nchi, akidharau sheria mbali mbali za nchi, akidharau Bunge na mahakama. Akidharau haki za raia na vyombo vya habari nchini.

Sasa hivi imefikia hadi kujichotea trillions za pesa za walipa kodi bila idhini ya Bunge. Hii inasababisha wizi na ufisadi mkubwa sana wa pesa za walipa kodi. Bunge liliidhinisha bilioni 2 tu katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 lakini ambazo zimeshatumika ni zaidi ya bilioni 350 HUU NI WIZI!!!

Nchi haiendeshwi hivi nchi ina taratibu zake za miaka nenda miaka rudi ambazo ni lazima zifuatwe badala ya mtu mmoja kutaka kutuaminisha kwamba kwa sababu yeye ni "mzalendo" basi aachiwe afanye vile atakavyo hata kuambiwa chochote kile, kukosolewa au kushauriwa hataki.

Tia akili kichwani acha kuidumaza ili kuganga njaa na kutafuta teuzi.





Yale matusi, chuki za wazi, vijembe , hasira na kebehi za wanachadema kwa serikali hii, au hata mwenzao ambaye ana mawazo ya tofauti umezidi kuiacha uchi chadema

Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila tumeambulia matusi na kebehi

Matusi ya wanachadema kwenye social media hauwezi kuamini kabisa kuwa hawa watu ndio wanakula pasaka ya leo ili hali Mbowe, mbowe huyu huyu yuko ndani!!

Haikuwa rahisi kudhania sugu atawekwa ndani(bado yumo ndani)

Mbowe ukitoka, badilisheni style ya siasa zenu. watanzania wanachuki mdomoni na wana upendo moyoni!! pale wanapokuwa wana upendo mdomoni na wanachuki moyoni..ni WANAFIKI..kweli mbowe wewe wa kulala ndani huku salary slip, nguruvi, mag 3, na wote chadema kindakindaki wanakula pasaka kwa raha zote!!..bila hata drama za kisiasa kuonyesha mko ndani?

Mbowe, Magufuli hachukiwi!!..Magufuli anatakiwa kuwa supported kwa nguvu zote ili CDM ipate support ya wananchi....unatakiwa kujipambanua na kwenda hatua ya mbali ambayo utawaambia wananchi kile ambacho unajua magufuli hataweza

kwa mfano "kusema CDM inaunga mkono jitihada zote za rais kwenye kudhibiti madini" ILA sisi chadema tukipata fursa tutahakikisha wale waliolifikisha taifa hapa tunawatafuta na kuwafilisi" unaposema hivi CDM inakuwa connected na jamii directly unapoweka condition ambayo unajua CCM hawataweza unakuwa MPINZANI!!

Hii kanuni rahisi ya busara na kanuni ya dhahabu mmeshindwa kabisa kui capture..mmesahau kucheza SIASA mnaeneza chuki, hasira, vijiba vya roho


Faida gani mnapata sasa? hao wazungu hawawezi kuwasaidia

Nilijua mbowe ukikamatwa Tanzania itatikisika!!'.haitakalika...haitatawalika....nilijua mbowe ukikamatwa mjini kutakuwa hakupitiki!..wanachadema wameonekana mashoga si mashoga, wanawake si wanawake, wamekuwa hayawani, hawaoni soni wala aibu....wanachadema wamekuwa kama kikundi cha taarabu, no siasa ni KUSEMA tu, kuandika tu...kutukana tu

Haya mbowe yuko ndani wako kimya tu..HIVI MBOWE UKITOKA NDANI unakuwa kiongozi wa nani?? kwa nini hamtaki kuamini kuwa siasa bora ni kuitambua jamii husika inataka nini, ina tabia gani? ..mtanzania anaweza kukutukana na kukudharau hata unapodai haki yake!!.ebo!..hallow ..wake up!!..Tanzania ni non violence country, get this fact

wanachadema wanatukana hata unapowapa ushauri mwema!..wako frustrated mpaka hata wakiwa wanakojoa hawajiamini!

Chuki inaleta kansa, mnajiumiza, mnateseka bure!! get life..

ebu anzeni siasa, kwa sasa HAMFANYI SIASA, mnaua chama

wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa
 
Acha uongo wewe!!! nani aliyekudanganya Tanzania ni non violent country!? Unaishi chini ya jiwe!? Lissu alipigwa risasi 38 akiwa Rwanda? Ben Saanane alipotea akiwa Burundi? Roma na wenziw waliotekwa na kuteswa walikuwa Uganda? Miili inayookotwa ufukweni mwa bahari iliokotwa Somalia na kuja kutupwa Coco beach? Azori Gwanda mwandishi wa Mwananchi aliyepotea kwa zaidi ya miezi minne sasa alipotea akiwa Congo!?

Tatizo lako unafiki unakusumbua sana ndiyo maana unaandika uongo. Ungeacha unafiki ungeona hali halisi ya nchi yetu kuhusu chuki za kutisha, udhalimu, dhuluma na hata mauaji ambayo chanzo chake kikuu ni huyo dhalimu.

Huu uongo wako beba upelele Lumumba kule utawapata wengi watakao kuona wewe ni genius kwa huu uongo wako lakini si humu. Huwezi kudai huyo dhalimu ni kiongozi mzuri huku akidharau katiba ya nchi, akidharau sheria mbali mbali za nchi, akidharau Bunge na mahakama. Akidharau haki za raia na vyombo vya habari nchini.

Sasa hivi imefikia hadi kujichotea trillions za pesa za walipa kodi bila idhini ya Bunge. Hii inasababisha wizi na ufisadi mkubwa sana wa pesa za walipa kodi. Bunge liliidhinisha bilioni 2 tu katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 lakini ambazo zimeshatumika ni zaidi ya bilioni 350 HUU NI WIZI!!!

Nchi haiendeshwi hivi nchi ina taratibu zake za miaka nenda miaka rudi ambazo ni lazima zifuatwe badala ya mtu mmoja kutaka kutuaminisha kwamba kwa sababu yeye ni "mzalendo" basi aachiwe afanye vile atakavyo hata kuambiwa chochote kile, kukosolewa au kushauriwa hataki.

Tia akili kichwani acha kuidumaza ili kuganga njaa na kutafuta teuzi.




Mkuu umesahau kuwa enzi za awamu ys nne mlikuwa mnasema rais gani huyu ambaye hawezi kutoa maamuzi magumu,kazi yake kuchekacheka na kusafiri safiiri.mkaenda mbali na kumwita rais dhaifu ksbisa.
Mkuu sisi wengine ni mbumbimbu,ungetuekeza hiyo katiba unayosema anayovunja ni ibara gani na gani na gani tuweze kutafakari.Kusema tu anavunja katiba hakutoshi.
Unasema rais anadharau mahakama lini na kesi ipi ambayo rais akiingilia?
Ni shaulipi mahakama ilitowa hukumu ya kumwachia mtuhumiwa rais akatengua maamuzi ya mahakama na kutia hatiani mtuhumiwa?
Kuhusu bunge,ni lini rais akilidhau?
Hivi si hao wanaolalamika leo ndio waliondharau rais wakati wa ufunguzi wa bunge kwa kutoka nje ya ukumbi wa bunge?
 
Acha uongo wewe!!! nani aliyekudanganya Tanzania ni non violent country!?
BAK, Waberoya hakusema Tanzania ni non violent country, alisema na nanukuu, "Tanzania ni non violence country!" Huyu ni msomi, zao la Chuo Kikuu cha UDSM na Engineer ( nasikia U-PhD uko njiani)
Unaishi chini ya jiwe!?
Hapana, haishi chini ya jiwe, ama anaishi peponi au anajiaminisha hivyo na wako wengi. Tatizo ni kwamba siku yake ikifika wengi hatutakuwepo kumtetea, ama tutakuwa tumetangulia tukisubiri kumpokea kama Akwilina anavyotusubiri.
Lissu alipigwa risasi 38 akiwa Rwanda? Ben Saanane alipotea akiwa Burundi? Roma na wenziw waliotekwa na kuteswa walikuwa Uganda? Miili inayookotwa ufukweni mwa bahari iliokotwa Somalia na kuja kutupwa Coco beach? Azori Gwanda mwandishi wa Mwananchi aliyepotea kwa zaidi ya miezi minne sasa alipotea akiwa Congo!?
Nimeona kuna pahala nimeitwa, mimi Mag3 Chadema, hilo halinishtui kama ilivyo kwa Maaskofu wa KKKT, kwa sasa wanaitwa makamanda. Huko nyuma niliwahi kutoa ushauri kwa watu kama Mh. Nape Nnauye nikiwaonya kwamba iko siku yanayowatokea wapinzani yanaweza kuwapata baadhi yao...how right I was!

Maaskofu hawateki, hawatesi na kuwaua Watanzania, wanaotenda maovu hayo ni wafuasi wa shetani na ni jukumu la Maaskofu na wacha Mungu popote walipo kumkemea shetani kwa nguvu zote kwani hapo wanatekeleza maagizo ya Mungu.
 
Shukrani sana Mkuu Mag3 hawa watu ni wa ajabu sana kuendelea kumpigia debe huyu mtu hatari sana kwa mustakabali na mshikamano wa Watanzania.
Kumpa U-PhD kilaza ni sawa na kumpa rungu kichaa, watakaoumia ni wengi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Well said!
Tanzania ni ya chama kimoja period!
 
Yale matusi, chuki za wazi, vijembe , hasira na kebehi za wanachadema kwa serikali hii, au hata mwenzao ambaye ana mawazo ya tofauti umezidi kuiacha uchi chadema

Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila tumeambulia matusi na kebehi

Matusi ya wanachadema kwenye social media hauwezi kuamini kabisa kuwa hawa watu ndio wanakula pasaka ya leo ili hali Mbowe, mbowe huyu huyu yuko ndani!!

Haikuwa rahisi kudhania sugu atawekwa ndani(bado yumo ndani)

Mbowe ukitoka, badilisheni style ya siasa zenu. watanzania wanachuki mdomoni na wana upendo moyoni!! pale wanapokuwa wana upendo mdomoni na wanachuki moyoni..ni WANAFIKI..kweli mbowe wewe wa kulala ndani huku salary slip, nguruvi, mag 3, na wote chadema kindakindaki wanakula pasaka kwa raha zote!!..bila hata drama za kisiasa kuonyesha mko ndani?

Mbowe, Magufuli hachukiwi!!..Magufuli anatakiwa kuwa supported kwa nguvu zote ili CDM ipate support ya wananchi....unatakiwa kujipambanua na kwenda hatua ya mbali ambayo utawaambia wananchi kile ambacho unajua magufuli hataweza

kwa mfano "kusema CDM inaunga mkono jitihada zote za rais kwenye kudhibiti madini" ILA sisi chadema tukipata fursa tutahakikisha wale waliolifikisha taifa hapa tunawatafuta na kuwafilisi" unaposema hivi CDM inakuwa connected na jamii directly unapoweka condition ambayo unajua CCM hawataweza unakuwa MPINZANI!!

Hii kanuni rahisi ya busara na kanuni ya dhahabu mmeshindwa kabisa kui capture..mmesahau kucheza SIASA mnaeneza chuki, hasira, vijiba vya roho


Faida gani mnapata sasa? hao wazungu hawawezi kuwasaidia

Nilijua mbowe ukikamatwa Tanzania itatikisika!!'.haitakalika...haitatawalika....nilijua mbowe ukikamatwa mjini kutakuwa hakupitiki!..wanachadema wameonekana mashoga si mashoga, wanawake si wanawake, wamekuwa hayawani, hawaoni soni wala aibu....wanachadema wamekuwa kama kikundi cha taarabu, no siasa ni KUSEMA tu, kuandika tu...kutukana tu

Haya mbowe yuko ndani wako kimya tu..HIVI MBOWE UKITOKA NDANI unakuwa kiongozi wa nani?? kwa nini hamtaki kuamini kuwa siasa bora ni kuitambua jamii husika inataka nini, ina tabia gani? ..mtanzania anaweza kukutukana na kukudharau hata unapodai haki yake!!.ebo!..hallow ..wake up!!..Tanzania ni non violence country, get this fact

wanachadema wanatukana hata unapowapa ushauri mwema!..wako frustrated mpaka hata wakiwa wanakojoa hawajiamini!

Chuki inaleta kansa, mnajiumiza, mnateseka bure!! get life..

ebu anzeni siasa, kwa sasa HAMFANYI SIASA, mnaua chama

wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa
Uzi wa kuokoa chama na ni tested facts ila utamaduni wa chama Kama kawaida walishaanza mitusi .utamaduni mbovu chini ya jua
 
Badili account yako kuwa verified uone kama haujulikani ya kuwa wewe ni wa Lumumba
 
Mkuu umesahau kuwa enzi za awamu ys nne mlikuwa mnasema rais gani huyu ambaye hawezi kutoa maamuzi magumu,kazi yake kuchekacheka na kusafiri safiiri.mkaenda mbali na kumwita rais dhaifu ksbisa.
Mkuu sisi wengine ni mbumbimbu,ungetuekeza hiyo katiba unayosema anayovunja ni ibara gani na gani na gani tuweze kutafakari.Kusema tu anavunja katiba hakutoshi.
Unasema rais anadharau mahakama lini na kesi ipi ambayo rais akiingilia?
Ni shaulipi mahakama ilitowa hukumu ya kumwachia mtuhumiwa rais akatengua maamuzi ya mahakama na kutia hatiani mtuhumiwa?
Kuhusu bunge,ni lini rais akilidhau?
Hivi si hao wanaolalamika leo ndio waliondharau rais wakati wa ufunguzi wa bunge kwa kutoka nje ya ukumbi wa bunge?
naww umesahau, mnavosema tulikua tunaibiwa sana kipindi cha.
Nyuma, hebu twambie mtukufu alikua wapi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK, Waberoya hakusema Tanzania ni non violent country, alisema na nanukuu, "Tanzania ni non violence country!" Huyu ni msomi, zao la Chuo Kikuu cha UDSM na Engineer ( nasikia U-PhD uko njiani)
Hapana, haishi chini ya jiwe, ama anaishi peponi au anajiaminisha hivyo na wako wengi. Tatizo ni kwamba siku yake ikifika wengi hatutakuwepo kumtetea, ama tutakuwa tumetangulia tukisubiri kumpokea kama Akwilina anavyotusubiri.
Nimeona kuna pahala nimeitwa, mimi Mag3 Chadema, hilo halinishtui kama ilivyo kwa Maaskofu wa KKKT, kwa sasa wanaitwa makamanda. Huko nyuma niliwahi kutoa ushauri kwa watu kama Mh. Nape Nnauye nikiwaonya kwamba iko siku yanayowatokea wapinzani yanaweza kuwapata baadhi yao...how right I was!

Maaskofu hawateki, hawatesi na kuwaua Watanzania, wanaotenda maovu hayo ni wafuasi wa shetani na ni jukumu la Maaskofu na wacha Mungu popote walipo kumkemea shetani kwa nguvu zote kwani hapo wanatekeleza maagizo ya Mungu.

jibu hoja mkuu

angalia point hapo, huwa mnamiss point


tell me, nani amehangaika na Mbowe? na yuko ndani

kaa chini jitafakari, badili style za siasa
 
BAK, Waberoya hakusema Tanzania ni non violent country, alisema na nanukuu, "Tanzania ni non violence country!" Huyu ni msomi, zao la Chuo Kikuu cha UDSM na Engineer ( nasikia U-PhD uko njiani)
Hapana, haishi chini ya jiwe, ama anaishi peponi au anajiaminisha hivyo na wako wengi. Tatizo ni kwamba siku yake ikifika wengi hatutakuwepo kumtetea, ama tutakuwa tumetangulia tukisubiri kumpokea kama Akwilina anavyotusubiri.
Nimeona kuna pahala nimeitwa, mimi Mag3 Chadema, hilo halinishtui kama ilivyo kwa Maaskofu wa KKKT, kwa sasa wanaitwa makamanda. Huko nyuma niliwahi kutoa ushauri kwa watu kama Mh. Nape Nnauye nikiwaonya kwamba iko siku yanayowatokea wapinzani yanaweza kuwapata baadhi yao...how right I was!

Maaskofu hawateki, hawatesi na kuwaua Watanzania, wanaotenda maovu hayo ni wafuasi wa shetani na ni jukumu la Maaskofu na wacha Mungu popote walipo kumkemea shetani kwa nguvu zote kwani hapo wanatekeleza maagizo ya Mungu.

mkuu unasikia vingi!!

wenzako wazee kama wewe wanakaa kimya

muda wa kujitafakari, wewe unaanza attacks

imeuma ehhe, sio poa mkuu
 
ni kweli mbowe yuko ndani

ni kweli chadema iko kimya

ni kweli hamna la kufanya

hata ubunifu tu wa mitandaoni kumkumbuka mbowe siku ya pasaka hakuna!!

no drama, kuko kimyaaaaa..........

sio fair nyie wanachadema, sio
 
Wale wa kutukana ambao hamjaenda kumwona mbowe ndani, na hamjaweza kufanya lolote....njooni mtukane na hapa

Halafu watu wanaweza kusema wataandamana tarehe 26.. hivi kama kuna kuandamana si ingekuwa wakati viongozi wakuu wa upinzani wako ndani? watu walitaka kula Pasaka kwanza.. Upinzani sasa hivi ni dhaifu sana...
 
Back
Top Bottom