Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
- Thread starter
- #21
Kumpa U-PhD kilaza ni sawa na kumpa rungu kichaa, watakaoumia ni wengi.
Mag3, umefikia hapa??? ha ha ha
unasikia rumor, halafu unaishi nayo na unaitumia kama silaha...
are you serious??
hivi nini kimekupata mkuu??
ebu badilika bana, I expected some crical response kutoka kwako, hasa uniambie style ya chadema, plans, na kama nilichoandika ni uongo
unaniangusha mkuu, serious
account yako hii??
wewe si mlimsema sana zitto na tukawaambia chama kinakufa bila yeye
uko wapi uwezo wako wa kujenga hoja??
umenihuzunisha mku
nakutumia meseji inbox, hii sio wewe kabisa tunaiua JF bana