Ukikutana nao wanaposalimiana unaweza kuona wivu, wanaonyesha upendo wa hali ya juu. Mabusu ya kila namna, karibu wote ni dini moja na pia wanaongea lugha moja. Cha ajabu ni wanafiki na wenye tamaa sana. Leo wakimbizi wote wamekimbilia nchi za Ulaya wakati kuna baadhi ya nchi za kiarabu ziko tulivu wangeweza kwenda kwa sababu ni ndugu zao. Ina maana Taifa dogo tena Masikini Kama Tanzania ni la maana kuliko nchi zote za waarabu dunia nzima.
Shame on you Arabu
Shame on you Arabu