Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,146
- 7,002
Mimi nawashangaa sana wamarekani kila kitu wao wanakiweza na wanakijua lakini hawa sio watu wazuri na kamwe hawa hawawezi kupenda Afrika iwe na hali nzuri. sasa hivi hawa wanafiki na majizi ya kimarekani na ulaya yanataka Ghadaffi atoke madarakani eti anaua watu wake!! mbona hawajasema pale Bagbo anapoua kule Ivory coast?!!
yaani nawachukia sana hawa wanafiki wanataka Ghadafi atoke waibe mafuta ya libya wanapeleka unafiki wao mbele ili waibe mali za Afrika kama wanavyoiba hapa Tanzania madini !!
yaani nawachukia sana hawa wanafiki wanataka Ghadafi atoke waibe mafuta ya libya wanapeleka unafiki wao mbele ili waibe mali za Afrika kama wanavyoiba hapa Tanzania madini !!