mdoe the thinker
Senior Member
- Dec 11, 2012
- 104
- 20
''Mimi nilijitoa TANU tangu 1973 na sijarudi CCM hadi leo vile najua hoja zangu zitakuwa na uungwaji mkono finyu kwa sasa katika vyombo vya maamuzi, labda pale CCM kikiondolewa madarakani kikabaki na waumini wa kweli wa ujamaa na umajumui wa kiafrika'' HII ni nukuu ya dkt rwaitama.
Nimeitoa kwenye uchambuzi wake uliosukumwa na TAFAKURI TUNDUIZI .
Nionavyo:dkt bado ni mwanachama wa ccm aliyejificha chini ya mwamvuli wa mabadiliko akingojea kupewa kacheo!!ALIJITOA TANU TANGU MWAKA 1973 NA HAJARUDI CCM HADI LEO,anajiitaje mwanachama mfu wa ccm wakati yeye alijitoa tanu!?
DOKTA MNAFIKI!!!!
Nimeitoa kwenye uchambuzi wake uliosukumwa na TAFAKURI TUNDUIZI .
Nionavyo:dkt bado ni mwanachama wa ccm aliyejificha chini ya mwamvuli wa mabadiliko akingojea kupewa kacheo!!ALIJITOA TANU TANGU MWAKA 1973 NA HAJARUDI CCM HADI LEO,anajiitaje mwanachama mfu wa ccm wakati yeye alijitoa tanu!?
DOKTA MNAFIKI!!!!