Unafiki wa Chadema Ni Huu

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katika mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hazi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kucukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?

kazi ipo!
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katika mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hazi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kucukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?

Vague!!! Kajipange upya kijana!

 
GHIBUU
Nakuunga mkono kwamba ingawa umetumia neno strong kidogo la unafiki sikubaliani nalo lakini nakubaliana nawe kwa msingi mmoja nao ni kuweka mazingiira ya kuwepo na muungano wa mkataba ili kuendena na wakati kwani tunapoelekea
huku ni kupoteza muda kuendelea kungangania serikali moja au tatu. wengine wanasema hatuwezi kuua serikali ya
muungano kwa kuwa tumeoleana that is nonesense kwani watanzania kibao wameoa kenya kwahiyo kuna haja ya kuunda serikali ya muungano na kenya ???
 
unaonyesha unapenda sana neno chadema ee.
kwa nini uwalinganishe na mke wa m2?

Namuunga mkono mleta hoja. Si ndio tunaamini kwamba CDM ni wa kweli kimsimamo na ndio wapinzani wa kweli? Tunataka kujua dira ya CDM katika muungano wanasimama wapi ili isije ikawa ndio CCM B badala ya CUF na NCCR.

'Ukweli ukidhihiri, Uongo hujitenga'
 
Yani wewe sidhani kama kweli uko nchi hii na unafatilia siasa
 
msitufanye wote watoto,semeni hamtaki muungano nadhani mtaeleweka zaidi,jukumu la kuvunja muungano ni la wazanzibar wenyewe,si la chama kimoja kimoja cha siasa.
 
Namuunga mkono mleta hoja. Si ndio tunaamini kwamba CDM ni wa kweli kimsimamo na ndio wapinzani wa kweli? Tunataka kujua dira ya CDM katika muungano wanasimama wapi ili isije ikawa ndio CCM B badala ya CUF na NCCR.

'Ukweli ukidhihiri, Uongo hujitenga'

hapana shaka sasa baada ya kuolewa bila ndoa sasa .sasa ni bora kupata ndoa ya mkataba kama ulaya vile ,ok iombene rasmi chadema iwasaidie kupata mkataba msijizungushe hii hoja ya mkataba ni ya cuf
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?

Kalale,umechoka ndugu yangu,kesho huenda ukawa na mawazo mazuri zaidi ya haya.Pole kwa uchovu
 
GHIBUU, Seriously? ..what's your point here?..afu kwanini hata msiwe mnajifunza hata kuandika(hara kufika mwisho tu ni shida)..afu huu uchambuzi wako..i should say ni new idea, aisee!!
 
Bhululu
Jaribu kukosoa kama umeona kakosea mbona ujumbe unaeleweka! Ila kama huna cha kuchangia ni bora ukaacha mana sioni cha muhimu unachofanya humu
 
Hoja yako imekaa vizuri ila neno 'Unafiki' ni kali ukilinganisha na maudhui ya uzi wenyewe!
 
wanafiki ni CUF na uzandiki wao wa kutaka kuuvunja muungano. Wakifanikiwa utawasikia wakiidai Unguja na wenzao PEMBA.
Kumbukeni busara na hekima za baba wa Taifa hili hayati mwl. Nyerere. shauri yenu
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?
Chadema wamefulia
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?
Lini kulikuwa na uchaguzi wa kuchagua aina za muungano, Najua wewe ni ustaadhi lakini nahisi unakunywa pombe na kwa sasa umelewa.
 
kama hapo baada ya kuandika tunapenda nimeandika yunapenda sasa kama mtu anajifunza si nishamuuza hapo jamani
 
Back
Top Bottom