ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,020
- 7,227
- Thread starter
-
- #21
Chadema kimejimaliza na kinaonesha ni jinsi gani viongozi wake wakuu na washauri wao wamepungukiwa na busara Nilikitegemea sana chama hiki kuleta mabadiliko ya kweli lakini kwa mwendo huu imani hiyo imepungua sana. Mie sijui tusubiri tuone watakavyojitoa katika mporomoko huu
kumpeleleza mtu wewe kama sio afisa ambaye kwa mujibu wa sheria una mamlaka hayo ni KOSA LA JINAI,so far huwezi ukawa una spy kwa manufaa ya katibu mkuu,wewe utakua huna tofauti na mchonganishi kwa sababu always utapeleka habari ambazo zinam favor boss wako wa saccoss
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".
Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.
Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.
Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.
Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!
Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.
Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?
Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!
Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!
Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.
hili ni jukwaa la heshimu, tafadhali kuweka kumbukumbu sawa ,ebu taja sheria ipi iliyoridhiwa kuwa ku spy ni kosa la jinai?utakuwa umetusaidia wanajamvi ili tusiongee kama tuko bafuni....asante...
Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa
Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka
1. Ramadani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea
2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?
3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............
i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)
ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)
Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako
wengi tu walishaachana nao kimya kimya...ila kinachowashangaza wananchi ni kuwa wasemaji wa mgogoro huo majukwaani ni waandamizi wa ccm eg nape, nchemba na masalia.
Kwenye mtandao ni id kama izi, ff, ritz, ze marcop...
sasa sisi wasomaji mara nyingi tunajiuliza, ivi kwa nini chadema wafukuze watendaji mahiri na ccm inune badala ya kushangilia kuwa sasa wanapeta kirahisi...hapa kila mtu anaona kuwa ccm wanaona unafuu sasa unaenda ukingoni...
NDO MAANA WATU MAKINI WALA HAWAANGAIKI, WANACHORA TU CCM WANAVOANGAIKA KUWANUSURU WANACHADEMA WANAOWATAKA...KWA MTINDO HUU MZEE WASSIRA , KWELI CDM ITAKUFA KABLA YA 2014 AU BAADA??
Sijapenda kufukuzana , na sipingi kamati kuu ya chadema ila mshangao wa uku uraiani watu wanajiuliza kwa nini ccm na akina nchemba , nape na ze marcopolo. simiyu,first lad woooote wanalia lia....I HAVE THE IDEA IT IS OVER!
Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa
Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka
1. Ramadani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea
2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?
3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............
i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)
ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)
Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako
Sasa hivi tunataka tuzungumzie hili
View attachment 123728
Unadhani ni kweli Katibu mkuu wa CCM anajua hii kazi au ndio TUNADANGANYWA ili tuone wana uwezo wa kuongoza????Funguka kistaarabu
Umemuuliza maswali ya msingi, sasa subiri mipasho...!
nimegundua wewe ni Ben saa eiti unatumia jina la kike, maana mwandiko Wako ndo ule ule wa kulala...pole kwa kujifanya mwanadada, jibu hoja hapo mbeba sumu na kuwadi wa babu,
dr. Slaa hata ule mjadala wa ufisadi alioufanya kwenye halmashauri kule Karatu kwenye mradi wa maji alisema umefungwa.
Kufunga mijadala ndio njia pekee ya Slaa kukimbia uwajibikaji. Mtu kama huyu HAFAI kuwa Rais wa nchi, ndio maana Mungu aliwaongoza watanzania wasimchague...
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC
Maziwa yanatolewa na ng´ombe, lakini ukienda kuulizia maziwa buchani watu watakushangaa.