Unafiki unaliangamiza Taifa

Maaskofu na mashehe ni sehemu ya ushetani wa utawala huu
 
Ukitoa kundi la raia, LHRC, vikundi kadhaa na vyama kadhaa vya upinzani, makundi mengine yote yaliyobaki ni matawi ya sisiyemu
 
Kwa bahati, hatua yake hii imenifanya niendelee kumdharau zaidi linapokuja lile la the so called "anapambana na ufisadi".

Na kwa bahati mzuri, mwanzoni kabisa mwa utawala wake nilishasema wazi kwamba Magu hapambani na ufisadi manake, endapo kweli angekuwa anapambana na ufisadi basi angeanza na viongozi kadhaa wa kisiasa wanaotoka CCM ambao wapo kwenye nyadhifa mbalimbali!!!

Niliamini hayo baada ya kuona anapambana zaidi na watendaji na maofisa wengine wadogo serikalini huku akiogopa kugusa yeyote at ministerial level kwenda juu!!!

Kila mmoja anafahamu kwamba CCM ndio tanuru la kuivisha mafisadi wa nchi hii! Lakini tangu achukue hatamu za uongozi wa CCM, wana-CCM walionja joto lake ni wale tu wenye tuhuma za usaliti kwa chama na sio ufisadi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…