brton
Senior Member
- May 7, 2019
- 174
- 151
Wasaalam wanabodi, Mimi Ni mdau wa maendeleo, linapokuja suala la maendeleo huwa nafurahi na kumpongeza hadharani kiongozi mleta maendeleo bila kuangalia katoka chama tawala au upinzani
Naomba niende mojakwamoja kwenye mada
Kuna tabia ya ajabu ipo hapa nchini huwa inanikera Sana na naweza kusema kuwa watanzania wengi Ni wanafiki na vigeugeu kwenye maneno yao wenyewe
Hayati magufuli alipambwa kwa mapambio mengi na kuonekana Ni Rais Bora kuwahi kutokea Tanzania na kuwa eti nchi yetu inahitaji Sana rais wa Sina yake ili tuwe na maendeleo
Magufuli alipofariki wengi walilia na kugaragara kuonesha wamempoteza kiongozi muhimu km nchi, wengi walishindwa kuficha hisia zao kwa kuigiza push-ups km alivofanya magu kipindi Cha kampeni kuonesha ushujaa wake
Leo tunapozungumza Mambo yamebadilika mno, wengi wamekuwa wanakosoa Kila alichofanya magufuli na mapambio na sifa km zilezile zimehamia kwa samia
Binafsi nakubali mama anaupiga mwingi maana anaendelea kujipambanua kuwa mwanademokrasia na mpenda amani ndomana anafanya maridhiano na upinzani
Swali: magufuli alikuwa mmbaya kiasi Cha kusemwa vibaya Leo hii au Kuna watu ndani ya Ccm kazi yao kubwa Ni kumpamba kiongozi aliyeko madarakani kwa manufaa binafsi?
Naomba niende mojakwamoja kwenye mada
Kuna tabia ya ajabu ipo hapa nchini huwa inanikera Sana na naweza kusema kuwa watanzania wengi Ni wanafiki na vigeugeu kwenye maneno yao wenyewe
Hayati magufuli alipambwa kwa mapambio mengi na kuonekana Ni Rais Bora kuwahi kutokea Tanzania na kuwa eti nchi yetu inahitaji Sana rais wa Sina yake ili tuwe na maendeleo
Magufuli alipofariki wengi walilia na kugaragara kuonesha wamempoteza kiongozi muhimu km nchi, wengi walishindwa kuficha hisia zao kwa kuigiza push-ups km alivofanya magu kipindi Cha kampeni kuonesha ushujaa wake
Leo tunapozungumza Mambo yamebadilika mno, wengi wamekuwa wanakosoa Kila alichofanya magufuli na mapambio na sifa km zilezile zimehamia kwa samia
Binafsi nakubali mama anaupiga mwingi maana anaendelea kujipambanua kuwa mwanademokrasia na mpenda amani ndomana anafanya maridhiano na upinzani
Swali: magufuli alikuwa mmbaya kiasi Cha kusemwa vibaya Leo hii au Kuna watu ndani ya Ccm kazi yao kubwa Ni kumpamba kiongozi aliyeko madarakani kwa manufaa binafsi?