Unafanyaje ukigundua mpenzi wako kalogwa?

Unafanyaje ukigundua mpenzi wako kalogwa?

Huyo ndio atajua hajui unampiga chuma gwiji wakati vikorokoro vyake katupia baharini so huyo ailavyuu wake hatoaguliwa badala yake atapewa hifadhi ya kudumu Mirembe
Bora waongee kiutu uzima tuu au wamalizane kiundava. Ila sio kumuua😅
 
Hivi unafanyaje ukigundua mpenzi wako amelogwa? Kuna namna kumuondoa huko?

Unakuta amekuwa kama chizi hajielewi ila alikuwa smart tu. Aliefanya hayo unamjua na ulipewa taarifa na uthibitisho.
Kanunue radi ya upako, kawe dar es salaam
 
Msaidie tu madeni yake ya vicoba kausha damu atakaa sawa.
 
Ukiwa mtu kiroho unaona tu.Wanakuwa kama wamechanganyikiwa kila saa yuko resi… hana mpangilio.
Hakuna cha kiroho, inawezekana na wewe ndiyo mambo yako, ndiyo maana umefikiria hayo...
 
Hakuna cha kiroho, inawezekana na wewe ndiyo mambo yako, ndiyo maana umefikiria hayo...
Huhitaji kuwa mchawi kujua mchawi🤣 ningekuwa nafanya ningekuja kuuliza huku ndugu zangu si ningedeal nae ila ndo ivo kuna watu hatujalelewa ivo labda wenzetu wenye experience watufunde mnafanyeje fanyeje
 
Chukua mkaa saga, halafu tafuta mavi ya bundi changanya, weka chumvi ya mawe ma mchanganyiko wa majani ya mmavimavi, halafu yakoroge kwenye maji yaliyoogeshewa maiti, weka kwenye chupa ya soda. halafu yabanze chooni kwa siku tatu halafu mnyweshwe chupa yote kwa mara moja
Fanya hivi halafu ulete mrejesho
Ila we ni kxxma kama watu wanavyokusema humu😂😂
 
Back
Top Bottom