😎😎 Kwa alie fanyia mpenzi wako, akifa na uchawi wake unakufaHivi unafanyaje ukigundua mpenzi wako amelogwa? Kuna namna kumuondoa huko?
Unakuta amekuwa kama chizi hajielewi ila alikuwa smart tu. Aliefanya hayo unamjua na ulipewa taarifa na uthibitisho.
Don't tote no twenty-twos, Magnum cost me twenty-two ,Sat it on them twenty-twos, birds go for twenty-two.😎😎 Kwa alie fanyia mpenzi wako, akifa na uchawi wake unakufaView attachment 3522522
🔥🔥🔥🔥🔥Don't tote no twenty-twos, Magnum cost me twenty-two ,Sat it on them twenty-twos, birds go for twenty-two.
Sio ndio ile wanasema aliyekuroga kafa, inamaana hakuna wa kutengua😅😎😎 Kwa alie fanyia mpenzi wako, akifa na uchawi wake unakufaView attachment 3522522
Hatari🔥🔥🔥🔥🔥
Lil' mama super thick (thick), she say she (22)
She seen 'em (22's), we in Room (222)
I touch work, like I'm Convertible Burt (Burt)
I got distribution, so I'm convertin' the work (work)
In the (M-I-yayo) them niggas rich off (yayo)
Steady slangin' (yayo), my Chevy bangin' (ayo)
Every day, I'm hustlin', e-every day, I'm hustl-
Every day, I'm hustlin', e-every day, I'm hustlin'
Every day, I'm hustlin', every day, I'm hustlin'
Every day, I'm hustlin', every day, I'm- every day, I'm

305 M.I Yayo.Yaani hapa huitaji ushauri wala usijifanye unauliza maswali.. Wewe fanya kama ulivo panga na matokeo yake usituambie. Na unaweza kuta mpenzi wako hajalogwa, ni akili yake mbovu tu.. Hata bipo pole kwa matatizo..Hivi unafanyaje ukigundua mpenzi wako amelogwa? Kuna namna kumuondoa huko?
Unakuta amekuwa kama chizi hajielewi ila alikuwa smart tu. Aliefanya hayo unamjua na ulipewa taarifa na uthibitisho.
Chukua mkaa saga, halafu tafuta mavi ya bundi changanya, weka chumvi ya mawe ma mchanganyiko wa majani ya mmavimavi, halafu yakoroge kwenye maji yaliyoogeshewa maiti, weka kwenye chupa ya soda. halafu yabanze chooni kwa siku tatu halafu mnyweshwe chupa yote kwa mara moja
Fanya hivi halafu ulete mrejesho
Mpeleke hospitali kwa madaktari bingwa watamtibia kisayansi na kitaalamu zaidiNa je kwa mwanamke ambayo amefungwa uzazi wake asizae kuna matibabu ambayo yanaweza kumsaidia...
Wewe ulishawahi jaribu hiyo dawa mkuu? Na vipi matumizi/dosage yake ipoje?Chukua Pilipili kichaa paka kwenye uboo wako afu Anza kumpelekea moto, atapona.
ila upo siriaz mkuu? najua maji ya maiti huvimbisha tumbo kana kwamba mtu kaugua ini.Chukua mkaa saga, halafu tafuta mavi ya bundi changanya, weka chumvi ya mawe ma mchanganyiko wa majani ya mmavimavi, halafu yakoroge kwenye maji yaliyoogeshewa maiti, weka kwenye chupa ya soda. halafu yabanze chooni kwa siku tatu halafu mnyweshwe chupa yote kwa mara moja
Fanya hivi halafu ulete mrejesho
Dawa ipo vzr sana, inatibu hapo hapoWewe ulishawahi jaribu hiyo dawa mkuu? Na vipi matumizi/dosage yake ipoje?
Huyo ndio atajua hajui unampiga chuma gwiji wakati vikorokoro vyake katupia baharini so huyo ailavyuu wake hatoaguliwa badala yake atapewa hifadhi ya kudumu MirembeSio ndio ile wanasema aliyekuroga kafa, inamaana hakuna wa kutengua😅
DuhChukua mkaa saga, halafu tafuta mavi ya bundi changanya, weka chumvi ya mawe ma mchanganyiko wa majani ya mmavimavi, halafu yakoroge kwenye maji yaliyoogeshewa maiti, weka kwenye chupa ya soda. halafu yabanze chooni kwa siku tatu halafu mnyweshwe chupa yote kwa mara moja
Fanya hivi halafu ulete mrejesho