Unafanya Programming au Advanced Video Editing? Tumia hizi machine

Unafanya Programming au Advanced Video Editing? Tumia hizi machine

Drone Camera

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
14,121
Reaction score
14,032
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye Windows na Linux toka chuo, nikaona best option kwa sasa ni kutafuta computer yenye gpu nzuri au ninunue gpu kisha ni assemble computer yangu mwenyewe. Kuna kitu kikanijia kichwani kwamba nijaribu Mac. Kipindi cha nyuma nilipokuwa nafuatilia tutorials, instructors wengi(80%) walikuwa wanatumia tunda. So nikazama mfukoni kdg nikaenda kwa wauzaji maarufu wa Mac. Nilihitaji hizi model mpya zenye chip ya Apple Silicon, at least M2 ya 2023.
Apple bei zao zimesimama bhana. Macbook Air M2 bei ni 2.5M kama ukibahatisha hadi 3M(Hapo bei inategemea pia Memory na Storage). Hapo bado hujaenda kwenye models za pro. Nakushauri kama wewe ni wale watu wa "Hiyo hela si unapata kiwanja kikubwa mlandege" usikanyage maduka yao.
Kwa kuwa nilikuwa na modern monitor na keyboard maghetoni, pia kazi nyingi nafanyia nyumbani, nikafanya maamuzi ya kuchukua Mac Mini(ni kama desktop version ya Mac). Hii ni cheap ukienda duka zuri ila utajitegemea monitor, keyboard na mouse. Nikatoa kama 1.5M na vichenchi hiv, nikapewa Mac Mini M2 base model Ram 8GB na storage 256GB.
Okay poa, nipo hapa namalizia huu uzi wa JF saa nane kuelekea na nusu usiku. Nimefungua tabs za kufa mtu Safari. Chrome nayo inaomba nizidi kuiongezea tabs. Nina docker, Xcode, Android Studio, pamoja na emulator zote za iOS na Android na naweza tumia zote kwa pamoja. Nina DaVinci Resolve, advanced video editor software inayotumika hadi Hollywood na inakuja na additional apps kibao. Inawaka chap hadi clients wanashangaa. Imebaki na storage ya gb 30 ila bado inapiga job kama haina kitu. Kesho nachukua external ya 1TB. Pia nimejipanga kuhamia M4 muda si mrefu.
Kubalance equation vizuri, nilikuwa na Dell pia yenye ram 8GB na storage ya 500 ila HDD. Kuinstall tu Android Studio na emulator yake feni inapuliza kama upo gesti za dar. Hii ya sasa japo ina feni, ila sijawahi sikia upepo wake wala joto lake.
Apple wapewe maua yao.
Picha kwa hisani ya mtandao.
 

Attachments

  • IMG_9844.JPG
    IMG_9844.JPG
    713.7 KB · Views: 19
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye Windows na Linux toka chuo, nikaona best option kwa sasa ni kutafuta computer yenye gpu nzuri au ninunue gpu kisha ni assemble computer yangu mwenyewe. Kuna kitu kikanijia kichwani kwamba nijaribu Mac. Kipindi cha nyuma nilipokuwa nafuatilia tutorials, instructors wengi(80%) walikuwa wanatumia tunda. So nikazama mfukoni kdg nikaenda kwa wauzaji maarufu wa Mac. Nilihitaji hizi model mpya zenye chip ya Apple Silicon, at least M2 ya 2023.
Apple bei zao zimesimama bhana. Macbook Air M2 bei ni 2.5M kama ukibahatisha hadi 3M(Hapo bei inategemea pia Memory na Storage). Hapo bado hujaenda kwenye models za pro. Nakushauri kama wewe ni wale watu wa "Hiyo hela si unapata kiwanja kikubwa mlandege" usikanyage maduka yao.
Kwa kuwa nilikuwa na modern monitor na keyboard maghetoni, pia kazi nyingi nafanyia nyumbani, nikafanya maamuzi ya kuchukua Mac Mini(ni kama desktop version ya Mac). Hii ni cheap ukienda duka zuri ila utajitegemea monitor, keyboard na mouse. Nikatoa kama 1.5M na vichenchi hiv, nikapewa Mac Mini M2 base model Ram 8GB na storage 256GB.
Okay poa, nipo hapa namalizia huu uzi wa JF saa nane kuelekea na nusu usiku. Nimefungua tabs za kufa mtu Safari. Chrome nayo inaomba nizidi kuiongezea tabs. Nina docker, Xcode, Android Studio, pamoja na emulator zote za iOS na Android na naweza tumia zote kwa pamoja. Nina DaVinci Resolve, advanced video editor software inayotumika hadi Hollywood na inakuja na additional apps kibao. Inawaka chap hadi clients wanashangaa. Imebaki na storage ya gb 30 ila bado inapiga job kama haina kitu. Kesho nachukua external ya 1TB. Pia nimejipanga kuhamia M4 muda si mrefu.
Kubalance equation vizuri, nilikuwa na Dell pia yenye ram 8GB na storage ya 500 ila HDD. Kuinstall tu Android Studio na emulator yake feni inapuliza kama upo gesti za dar. Hii ya sasa japo ina feni, ila sijawahi sikia upepo wake wala joto lake.
Apple wapewe maua yao.
Picha kwa hisani ya mtandao.
Kwa shughuli za editing nashauri utumie Mac Pro sema bei imesimama sana,ila kibongo Bongo nashauri I Mac au MacBook Pro hizo zina himili shida kwenye rendering kikubwa uwe ram za kutosha,ila kwa hizo Mac mini na MacBook air zinasumbua kufanya kazi za production siku ukiwa na mzigo mkubwa utakuja kuleta mrejesho.
 
Kwa shughuli za editing nashauri utumie Mac Pro sema bei imesimama sana,ila kibongo Bongo nashauri I Mac au MacBook Pro hizo zina himili shida kwenye rendering kikubwa uwe ram za kutosha,ila kwa hizo Mac mini na MacBook air zinasumbua kufanya kazi za production siku ukiwa na mzigo mkubwa utakuja kuleta mrejesho.
Yeah sure pro ipo vizuri. Sifanyi video editing ya kazi nzito nafanya tu simple task nikipata muda wa ziada. Ila Mac Mini version ya pro pia ipo.
 
Mac kwenye video ni display, kama una PC nzuri unaweza tumia screen za LG ukapata quality nzuri,
hapa naisubiria huawei matebook yenye 24GB itakuja na bei nzuri, hizi za 1/2TB zimenikosa for testing.
 
Ila ungezama Ebay hiyo PC ungeipata kwa roughly milion 1 au pungufu ya hapo.
Cheki kama hii m4 mac mini inatembea roughly around 1.4M ya hapa kwetu.
Screenshot_2025-05-22-12-51-34-687_com.ebay.mobile.jpg
 
Ila ungezama Ebay hiyo PC ungeipata kwa roughly milion 1 au pungufu ya hapo.
Cheki kama hii m4 mac mini inatembea roughly around 1.4M ya hapa kwetu.
View attachment 3341838
Yeah sahivi zimeshuka bei na Apple hawazitoi tena. Pia zikifika maduka ya huku wauzaji wanatafuta faida kubwa.
Ukipata dili zuri online kama hivyo inakuwa afadhali, japo muda mwingine mambo yanakuwa mengi
 
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye Windows na Linux toka chuo, nikaona best option kwa sasa ni kutafuta computer yenye gpu nzuri au ninunue gpu kisha ni assemble computer yangu mwenyewe. Kuna kitu kikanijia kichwani kwamba nijaribu Mac. Kipindi cha nyuma nilipokuwa nafuatilia tutorials, instructors wengi(80%) walikuwa wanatumia tunda. So nikazama mfukoni kdg nikaenda kwa wauzaji maarufu wa Mac. Nilihitaji hizi model mpya zenye chip ya Apple Silicon, at least M2 ya 2023.
Apple bei zao zimesimama bhana. Macbook Air M2 bei ni 2.5M kama ukibahatisha hadi 3M(Hapo bei inategemea pia Memory na Storage). Hapo bado hujaenda kwenye models za pro. Nakushauri kama wewe ni wale watu wa "Hiyo hela si unapata kiwanja kikubwa mlandege" usikanyage maduka yao.
Kwa kuwa nilikuwa na modern monitor na keyboard maghetoni, pia kazi nyingi nafanyia nyumbani, nikafanya maamuzi ya kuchukua Mac Mini(ni kama desktop version ya Mac). Hii ni cheap ukienda duka zuri ila utajitegemea monitor, keyboard na mouse. Nikatoa kama 1.5M na vichenchi hiv, nikapewa Mac Mini M2 base model Ram 8GB na storage 256GB.
Okay poa, nipo hapa namalizia huu uzi wa JF saa nane kuelekea na nusu usiku. Nimefungua tabs za kufa mtu Safari. Chrome nayo inaomba nizidi kuiongezea tabs. Nina docker, Xcode, Android Studio, pamoja na emulator zote za iOS na Android na naweza tumia zote kwa pamoja. Nina DaVinci Resolve, advanced video editor software inayotumika hadi Hollywood na inakuja na additional apps kibao. Inawaka chap hadi clients wanashangaa. Imebaki na storage ya gb 30 ila bado inapiga job kama haina kitu. Kesho nachukua external ya 1TB. Pia nimejipanga kuhamia M4 muda si mrefu.
Kubalance equation vizuri, nilikuwa na Dell pia yenye ram 8GB na storage ya 500 ila HDD. Kuinstall tu Android Studio na emulator yake feni inapuliza kama upo gesti za dar. Hii ya sasa japo ina feni, ila sijawahi sikia upepo wake wala joto lake.
Apple wapewe maua yao.
Picha kwa hisani ya mtandao.
Vipi kwa sisi tunaoedit video kwa simu,je tunawezaje kufanya hiyo advanced video editing?🙏
 
Mkuu kabla ya kupata hayo mamilioni ya kununua hayo maMac kuna ubaya kuanza na ulicho nacho(simu)?. Tushauri basi na Sisi ili videos zetu zing'are Mkuu!
Shida sio kutumia simu au PC, shida ni unajua ku edit...!?, mfano video hizi za Tiktok unatumia Simu tu, make mara nyingi unacho edit ni ku kata na kuunganisha hizo clip cha ziada ni kuweka maneno, mwisho.
Kama hilo ndio we hufanya simu inatosha sana, ila zaidi ya hapo ndo PC hufuatia.
NB: Kuna baadhi ya mobile applications zinaweza fanya mengi zaidi ya hayo.
 
Mac kwenye video ni display, kama una PC nzuri unaweza tumia screen za LG ukapata quality nzuri,
hapa naisubiria huawei matebook yenye 24GB itakuja na bei nzuri, hizi za 1/2TB zimenikosa for testing.
Aah, bei zao zipo vp ukilinganisha na Mac. Pia ushatumia model yao yoyote?
 
Back
Top Bottom