CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
huwa nasikia njiwa huwa hachangii jike lake na njiwa mwenzie. na kama akinyang'anywa jike lake huzira kula mpaka afe? je ni kweli? hebu ongeza unazofahamu. . . .
Fisi maji,ye akipata mhemuko na jike halipo around basi niniliyu yake huitumbukiza popote na kumaliza haja yake,iwe katikati ya miamba miwili ye sawa tu.
jogoo yeye hata mama yake ni mke wake
Fisi maji,ye akipata mhemuko na jike halipo around basi niniliyu yake huitumbukiza popote na kumaliza haja yake,iwe katikati ya miamba miwili ye sawa tu.
kunguru bhana hasa hawa wa Pwani, wakitaka kunya lazima watafute mtu wamlenge, especially ukikatiza chini ya mti au nyaya za umeme
Tembo huwa anakwenda haja kubwa yenye uzito wa kilo tano kila baada ya masaa mawili
sio adimu bwana huko mbugani kipo bwerereeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. duh!!!!!!!!! halafu sikujua kama dawa ya pumu si ningechukua jaman coz nilipoenda Iringa nilifika hadi ruaha national park kwani mie nina pumuduh, sasa mbona kinyes chake ni adimu? afu nasikia kuwa kinyes chake ni dawa ya pumu?
Hakuna ushahidi wala shuhuda aliyewaona fisi wakijamiiana!!! Mwenye nao ajitokeze.
Do you know a miracles of Camel ?
Kama hujui tega sikio!
And this is true details si za kichitchat .
> Camel have a special body structure that makes it able to live in harsh climate , hot temperature.
> Camel anamudu 8 days bila chakula wala maji.
> Miguu yake are suitable for a variety of conditions includin' desert sand.
> Camels eyelashes that can be automatically closed diffend frm sand desert storms and dust.
> Camel ana'consume 30 liters of maji yakiwa ya akiba mwilini na 30 ltrs ikiwa ktk mzunguko.
> Camel (male) hampandi Mama yake mzazi au ndugu wa kuzaliwa nae kama wamezaliwa in difference gender.
> Camel inapofika time ya kumchinja hachinjiki by using force, kivyovyote vile akigoma kuchinjwa hachinjiki! . Owner hulazimika aachane na agenda hiyo na kuendelea na agenda nyingine.
> Ni vipi basi huchinjwa ?
Camel huimbiwa nyimbo maalumu za ubembelezo thn akiafiki hulala mwenyewe na owner ndiyo humfunga kamba za miguu, na kuchinjwa kwa ridhaa yake mwenyewe.
huwa nasikia njiwa huwa hachangii jike lake na njiwa mwenzie. na kama akinyang'anywa jike lake huzira kula mpaka afe? je ni kweli? hebu ongeza unazofahamu. . . .