mpenzi hujambo....
Photocopy Spare parts copy sh 30/!!hapo ujaona tatizo bado??
@Preta mimi sijambo japo mwenzangu ulinitolea uvivu kwakuona mapenzi ya mda mrefu yanachelewesha maendeleo sawa ila mimi nipo!!
Gari ilibidi lisimame baada yakuona mafuta hayakanyagwi likafika kwenye kamwinuko kadogo likashindwa kupanda!!!Na AR nikwetu jombaaa tutaonana ila swala brake halipo ni nguvu imekosekana na wala sikulisimamisha mimi lilisimama lenyewe!!jamani....ndio unataka kunivutia brake au.......