Unaelewa nini..?

Unaelewa nini..?

Pasheil

Member
Joined
Apr 29, 2019
Posts
9
Reaction score
3
Wakuu Habari.
Lugha ya picha,wewe umeelewa nini
 

Attachments

  • Screenshot_2019-05-05-13-50-04-1.png
    Screenshot_2019-05-05-13-50-04-1.png
    120.7 KB · Views: 29
Kwamba mtu kama jiwe anatawala/anaongoza/control binadamu kama Lissu
 
Pombe, sigara, madawa, kamari na simu vimewafanya watu kuwa watumwa wa ivyo vitu
Ndio jamii yetu ya sasa,tumekua watumwa wa vitu,vinatutumikisha kuliko tunavyo vitumia
 
[emoji38] daah sasa unatembeaje mzee
Sitembeagi mkuu,huwa nikiwa job 80%nipo na simu,nikitoka naelekea baa nakunywa nakuvuta huku nachati had I muda wa kuelekea home na nikifika nachati huku nakula then naenda kitandani nachati had I usingizi unipitie
 
Sitembeagi mkuu,huwa nikiwa job 80%nipo na simu,nikitoka naelekea baa nakunywa nakuvuta huku nachati had I muda wa kuelekea home na nikifika nachati huku nakula then naenda kitandani nachati had I usingizi unipitie
Ratiba yako ipo vizuri,ingawa ongeza na zoezi kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom