Ooh..!? Ila Kwa hapo mkuu kipi kinacho onyesha hiloPale wenye akili wanapotawaliwa na mambulula
😆 daah sasa unatembeaje mzeeM n mtumwa wa hivyo vyote kasoro madawa
👍 nimekuelewa mkuuAddiction mbalimbali zinavyowaendesha watu..
Mmoja pombe, mwingine kamari mwingine sigara kifupi Ni jinsi watu wana lose control kwenye hizo addiction
Ndio jamii yetu ya sasa,tumekua watumwa wa vitu,vinatutumikisha kuliko tunavyo vitumiaPombe, sigara, madawa, kamari na simu vimewafanya watu kuwa watumwa wa ivyo vitu
Sitembeagi mkuu,huwa nikiwa job 80%nipo na simu,nikitoka naelekea baa nakunywa nakuvuta huku nachati had I muda wa kuelekea home na nikifika nachati huku nakula then naenda kitandani nachati had I usingizi unipitiedaah sasa unatembeaje mzee
Ratiba yako ipo vizuri,ingawa ongeza na zoezi kidogoSitembeagi mkuu,huwa nikiwa job 80%nipo na simu,nikitoka naelekea baa nakunywa nakuvuta huku nachati had I muda wa kuelekea home na nikifika nachati huku nakula then naenda kitandani nachati had I usingizi unipitie
Huwa kila Siki nafanya asubuiRatiba yako ipo vizuri,ingawa ongeza na zoezi kidogo
Huenda hili ndo jibu sahihiPombe, sigara, madawa, kamari na simu vimewafanya watu kuwa watumwa wa ivyo vitu