Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
diamond shoga yako?maana unatetea dume kuvaa sket
Atakua choko huyo achana naye c unajua wanateteana.
diamond shoga yako?maana unatetea dume kuvaa sket
Inabd sometyms uwe unaelewa cjamtetea diamond kuvaa sket coz cio issue nzur hata kdogo, lakn 2kiendelea kuidscuss itabadlisha nn? Kwani wangap wamefanya ya ajab na mmewaacha, by the way he is my funny cna nnacho gain kutoka kwake inabd uelewe, tatzo lenu mkimchukia m2 mnataka kla m2 amchukie.
Asa ucipopata mashabki ukali wako 2taujulia Wap? Chumbani au!! Ukali mnaouzungumzia nyie ni upi, ustaarabu au!! Mmekomaa na mada ya sket!!! Duuuh bnadam nomaa
Mtakalia kulalamika wenzenu wanasonga mbele, kama ni ndumba na wao c wakatafute?kwahyo ukiwa na rundo la wafuasi basi we ni mkali?!!
komaa kiakili wewe raia,kuna artist kibao wanafanya vizuri tatizo nyota ya kupendwa hawana!sikiliza nyimbo za Q~chillah,afande sele,solo thang,j moe,20%,one,mbishi,fid q,rama d,vumilia,barnabas n.k then uckilize ben paul,weusi,diamond,hemed,dimpoz wa vpedo,ney wa mitego,bonge la pussy,timbulo n.k
ndo utajua nini maana ya nyota ya kupendwa+ndumba za kina babu fulan na ostadh j na mtwara
Mtakalia kulalamika wenzenu wanasonga mbele, kama ni ndumba na wao c wakatafute?
jamani huyo 20% anafanya lipi tuambieni basi. Mpeni Diamond haki yake. mweeh!Kama kwa kina P square alienda kwa Kuibia almanusra afukuzwe !
Now unaropoka domo kufanya collabo na kina Chriss Brown ! Be serious !
This can't be we ndo utakaeniambia Jose Chamilione na Diamond Mkali Diamond !
:focus:
Kwa mwenye akili timamu anaelewa ni nini 20% anafanya ! Ila mjinga mjinga hawezi kuelewa ! Nakuendelea kudatishwa na Domo !
LMFAO
jamani huyo 20% anafanya lipi tuambieni basi. Mpeni Diamond haki yake. mweeh!
Lipi kivipi
Kuonekana kwenye magazeti ! Na skendo za kishenzi ?
Kunyoana vipara na mpenzi wake ili wa make headlines !
Labda ni lipi unalolizungumzia wewe ? 20% halifanyi
Kama mziki 20% anaufanya kuna nyimbo katoa ya Mali za Urithi sijui kama umesikiliza !
Kama una akili timamu utaielewa !
Binadamu kwa kulonga !?Kama kwa kina P square alienda kwa Kuibia almanusra afukuzwe !
Now unaropoka domo kufanya collabo na kina Chriss Brown ! Be serious !
This can't be we ndo utakaeniambia Jose Chamilione na Diamond Mkali Diamond !
:focus:
Kwa mwenye akili timamu anaelewa ni nini 20% anafanya ! Ila mjinga mjinga hawezi kuelewa ! Nakuendelea kudatishwa na Domo !
LMFAO