Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Pole sana hujielewi dogo unabishana tu kwa matusi na kila kitu ukikua utaacha. Good day dogo
Poa . Siku njema
Pole sana hujielewi dogo unabishana tu kwa matusi na kila kitu ukikua utaacha. Good day dogo
hapa sawa unamshindanisha torres na hazard alafu unasema TORRES yupo juu kwa 7bu anapata pesa ndefu,kuingiza pesa nyingi ktk fani yako haimaanishi kuwa upo vizuri upande huo,beckham alikuwa na kiwango gani ktk soka?Na mbona alikuwa anapiga pesa ndefu kupita claudio makelele?
Hiyo ni mifano tu ila tukirudi kwenye mada kimuziki 20% YUPO JUU ZAIDI YA NDOMO,
ILA KWA SENTI,KUVAA VIMINI NA KUPAKA INA JABA YUPO JUU MARA ELFU 1000
Kama kwa kina P square alienda kwa Kuibia almanusra afukuzwe !
Now unaropoka domo kufanya collabo na kina Chriss Brown ! Be serious !
This can't be we ndo utakaeniambia Jose Chamilione na Diamond Mkali Diamond !
:focus:
Kwa mwenye akili timamu anaelewa ni nini 20% anafanya ! Ila mjinga mjinga hawezi kuelewa ! Nakuendelea kudatishwa na Domo !
LMFAO
Ukitaka thibitisha hilo 20% aandae show siku moja na diamond halafu uone atakayejaza ukumbi ni nani.
Kwani wewe mtu kufanikiwa kimziki ni nini? Nadhani ni kuimba na kuifikia watu wengi wakamjua na kupenda kazi zake akaingiza pesa.
Haijalishi uwe mkali kiaje kama watu hawatakuelewa unatoa ngoma unaishia sikiliza wewe na jirani zako basi mziki utakuwa bado hujafanikiwa.
Kumcompare mohamed ally na floyd si haki kwakuwa wamekuwa kwenye masumbwi katika vipindi tofauti may be ally naye angeanza masumbwi recently angekuwa ana pesa.
Diddy yeye utajiri wake unatokana na ujasiriamali na u producer na sio mziki.
Kwa hiyo unataka kusema wabongo wengi mamburula maana nadhani asilimia kubwa wanamkubari diamond zaidi ya 20%.
Bora umeongea.
Watu wanaamini kupiga hela ndefu katika fani ndo kua mkali wa fani husika...
Ndo mana nikawapa mfano wa Diddy na Eminem,
Ama Jay Z na Eminem.
Ulivotoa mfano wa Beckham umemaliza kabisa....
Beckham alikua mtupu sana lakini hela inaingia tu....
Asa ucipopata mashabki ukali wako 2taujulia Wap? Chumbani au!! Ukali mnaouzungumzia nyie ni upi, ustaarabu au!! Mmekomaa na mada ya sket!!! Duuuh bnadam nomaa
Mtazamo wangu...
1.Sauti-Diamond
2.Mashairi(Ujumbe)-20%
3.Kucheza-Diamond
4.Muonekano(Star look)-Diamond
5.Nyota ya kupendwa-Diamond
6.Ubunifu na kujituma-Diamond
Hitimisho: kulingana na vigezo tajwa hapo juu nathubutu kusema Diamond ni mkali zaidi ya 20%
Labda wataujulia kwa mama ako.
Who cares??
Star look kisa ana domo ka chai jaba ama
Asa ucipopata mashabki ukali wako 2taujulia Wap? Chumbani au!! Ukali mnaouzungumzia nyie ni upi, ustaarabu au!! Mmekomaa na mada ya sket!!! Duuuh bnadam nomaa
Wewe ni ME au KE?
Asa ucipopata mashabki ukali wako 2taujulia Wap? Chumbani au!! Ukali mnaouzungumzia nyie ni upi, ustaarabu au!! Mmekomaa na mada ya sket!!! Duuuh bnadam nomaa
ME na KE unasemaje??